Baba Ndumbwi
JF-Expert Member
- Jun 30, 2013
- 447
- 712
Hivi kuna 1HZ isiyotumia heater kweli?1HZ kuwa makini sije wakakupa toleo la zamani zile zenye mfumo wa Heater au Pre heater hizi zilitoka na Land Cruiser Series 75 (HZJ75). Ambazo kabla ya kuwasha lazima uchome heater ndio uwashe gari.
Hizi usumbufu wake ni Heater ikifa gari husumbua kuwaka na kila sehemu ya Piston kuna heater 1 kwaiyo inakuwa na Heater 6.
Swali zuri maana najua engen 1HZ siyo direct injection lazima iwe na pre heater ile 75 na 90 zote
sasa sidhani kama still zinatumia heaterSwali zuri maana najua engen 1HZ siyo direct injection lazima iwe na pre heater ile 75 na 90 zote
Niko pamoja naweKwa maoni yangu, huwezi jua umakini/ubora wa injin hadi uifunge ktk gari na itembee! Kwa ajili hiyo, badala ya kutafuta injini bora ya kufikirika, ni kwann usinunue overhall kit ambayo inavipuri bora?
Kwasababu hivi unaweza kuviona na kutofautisha kutokana na brand pamoja na bei, na baada ya kuifunga injin sasa unakuwa na uhakika wa injin yako.
Ni tofauti sana na kununua injin ambayo hujui hasa ina hali gani"
Kwani hiyo gari unayotaka kuinunulia injin,
Injin iliokuwepo ina shida gani?
Sent using Redmi Y2