Mimi ni kijana wa kitanzania niliemaliza kidato cha sita mwaka huu (2015) combination ya pcb
katika maisha yangu ndoto zangu kubwa ni kwenda kusomea nje ya nchi ikibidi hata kuish huko...tatizo ni kuwa ufaulu wangu hautakuwa wa kiwango kikubwa sana lakini nina uhakika wa kufaulu sasa nashindwa nianzie wapi kuitafuta
kwa anayejua anisaidie
nchi yoyote ila isiwe na migogoro ya kisiasa wala vita ya wenyewe kwa wenyewe...najua hata nyie hampendi mdogo wenu nikateseke ...kwa hio ziwe nch zenye utulivu
nawasilisha na asanten sana
katika maisha yangu ndoto zangu kubwa ni kwenda kusomea nje ya nchi ikibidi hata kuish huko...tatizo ni kuwa ufaulu wangu hautakuwa wa kiwango kikubwa sana lakini nina uhakika wa kufaulu sasa nashindwa nianzie wapi kuitafuta
kwa anayejua anisaidie
nchi yoyote ila isiwe na migogoro ya kisiasa wala vita ya wenyewe kwa wenyewe...najua hata nyie hampendi mdogo wenu nikateseke ...kwa hio ziwe nch zenye utulivu
nawasilisha na asanten sana