Msaada: Nichukue gari ipi kati ya hizi?

Msaada: Nichukue gari ipi kati ya hizi?

Kluger model 2005 to 2007 vs Subaru forester 2008 to 2011. Sijui ipi wakuu itanifaaa kichwa kinazunguka sielew kabisa.

Lakin naitaj gar yenye nguvu, comfortable barabaran ,rough road iwe vzuri plus mantainance spare ziwepo
Ishi na Subaru kaka, mimi nina ya 2008, mpaka leo haijanipa tabu, tangu 2021, nnachofanya ni service kwa wakati, na kutumia oil + filter genuine!!
 
Achana na Subaru, chukua Toyota utakuja kunikumbuka.

1. Mafundi wa kubahatisha.
2. Viti vya Subaru viko chini, Yan Dereva unadumbukia sijui ndo sport car wanasema.
3. Spare ni ishu nyingine ya kukatiza tamaa.
Chukua Klugger au ongeza pesa chukua Harrier wanaita tako la nyani.

Bora harrier old model kuliko huyo mdudu Forester.
Achana na maswala ya performance sijui vitu gani kwani unaenda kushindana mbio za magari?
 
Kluger model 2005 to 2007 vs Subaru forester 2008 to 2011. Sijui ipi wakuu itanifaaa kichwa kinazunguka sielew kabisa.

Lakin naitaj gar yenye nguvu, comfortable barabaran ,rough road iwe vzuri plus mantainance spare ziwepo
Subaru✅✅✅
 
Chukua subaru ya 2011-2013
100d632d-c9a7-40d7-82d2-89ce93267db8.jpg

Hakikisha ina low mileage
 
Turbo inakula mafuta na pia inahitaji sana matunzo.

Binafsi yangu gari nataka ikiwa kubwa basi iwe na nguvu na nguvu lazima ihusishe wese la kiwango flani hiyo kwangu syo shida.

Matunzo yapi yanatakiwa juu ya hiyo gari?
Kufanya service kwa wakati(engine &gearbox )?
Au ni gari ambayo haihitaji mikimiki au nini?

Au ni gari zina faults flani toka kiwandani
(Mechnical issues au nini)

Nauliza kwa sabab ndio gari yngu ninayotaka kuchukua iwe na turbo+ intercooler ikiwa na 2.5L ni nzuri zaidi with manual gearbox(5 speed gearbox)
 
Haya I[mention]financial services [/mention] njoo[emoji4]
 
Binafsi yangu gari nataka ikiwa kubwa basi iwe na nguvu na nguvu lazima ihusishe wese la kiwango flani hiyo kwangu syo shida.

Matunzo yapi yanatakiwa juu ya hiyo gari?
Kufanya service kwa wakati(engine &gearbox )?
Au ni gari ambayo haihitaji mikimiki au nini?

Au ni gari zina faults flani toka kiwandani
(Mechnical issues au nini)

Nauliza kwa sabab ndio gari yngu ninayotaka kuchukua iwe na turbo+ intercooler ikiwa na 2.5L ni nzuri zaidi with manual gearbox(5 speed gearbox)

Kwa sifa Hizi chukua subaru kuanzia SK9
 
Achana na Subaru, chukua Toyota utakuja kunikumbuka.

1. Mafundi wa kubahatisha.
2. Viti vya Subaru viko chini, Yan Dereva unadumbukia sijui ndo sport car wanasema.
3. Spare ni ishu nyingine ya kukatiza tamaa.
Chukua Klugger au ongeza pesa chukua Harrier wanaita tako la nyani.

Bora harrier old model kuliko huyo mdudu Forester.
Achana na maswala ya performance sijui vitu gani kwani unaenda kushindana mbio za magari?

Nani anawadanganya subaru hazina mafundi, ulisha enda pale kinondoni 0-60 garage ? Viti kuwa chini kuna tatizo gani? Au wewe ni mfupi sana, jua pia kiti kuwa chini inakupa stability barabarani kama gari ni nyepesi. Spare za subaru ziko kila kona, spare gani umetafuta ukakosa?

Yawezakana hata hujawahi tumia hii gari unapewa stori za vijiweni tuu.. angalia kwenye statistics za befoward sahivi gari zinaongozwa kwa kununuliwa Tanzania ni subaru, unadhani wananunua hawajui ?

Pia angekuwa hataki performance angechukua hata rush tena iko juu au ist , vits [emoji1]

Hitimisho:
Subaru ni mojawapo ya gari ya bei rahisi / nzuri yenye nguvu kwa sasa.
 
Back
Top Bottom