Msaada: Nichukue gari ipi kati ya hizi?

Msaada: Nichukue gari ipi kati ya hizi?

Achana na Subaru, chukua Toyota utakuja kunikumbuka.

1. Mafundi wa kubahatisha.
2. Viti vya Subaru viko chini, Yan Dereva unadumbukia sijui ndo sport car wanasema.
3. Spare ni ishu nyingine ya kukatiza tamaa.
Chukua Klugger au ongeza pesa chukua Harrier wanaita tako la nyani.

Bora harrier old model kuliko huyo mdudu Forester.
Achana na maswala ya performance sijui vitu gani kwani unaenda kushindana mbio za magari?

Hivi hii kitu kwamba subaru zote ni perfomance car mnatoa wapi. Na sidhani kama wanaosuggest Subaru ni kwa sababu ya perfomance. ina strength zake nyingine ambazo si perfomance, kama vile AWD, handling n.k
Ila tukirudi kwenye point
Mafundi wa Subaru sasa hivi wapo ila si wengi lakini si gari mbovu. Spare zipo kibao tu sasa, bei ni ghali kidogo kuliko toyota.
Nadhani kuendesha ni nzuri zaidi kuliko kluger za miaka hiyo.
Model za miaka hiyo za Subaru zina tendency ya kuanza kula oil zikishazidi Km 160,000, sina hakika ni model ipi hasa, turbo au non turbo
 
Binafsi yangu gari nataka ikiwa kubwa basi iwe na nguvu na nguvu lazima ihusishe wese la kiwango flani hiyo kwangu syo shida.

Matunzo yapi yanatakiwa juu ya hiyo gari?
Kufanya service kwa wakati(engine &gearbox )?
Au ni gari ambayo haihitaji mikimiki au nini?

Au ni gari zina faults flani toka kiwandani
(Mechnical issues au nini)

Nauliza kwa sabab ndio gari yngu ninayotaka kuchukua iwe na turbo+ intercooler ikiwa na 2.5L ni nzuri zaidi with manual gearbox(5 speed gearbox)

Haina faults, ila hata ya 2.0 turbo ina nguvu tu ya kutosha. Inataka service on time, oil sahihi na kwa wakati.
 
Haina faults, ila hata ya 2.0 turbo ina nguvu tu ya kutosha. Inataka service on time, oil sahihi na kwa wakati.

Kwahilo nitaweza chifu sitaweza kukwama maana ninamuda sasa mrefu wa kuishi na magari na pia natunza sana.
 
Back
Top Bottom