Msaada: Nifanyaje ili biashara ya kuku inipe mafanikio ya kimaisha


Mkuu nimekupata vizur sana ilaa nataka ni focus hasa kwenye soko la mayai, hasa kuliko kumuuza kuku mwenyewe.


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Write your reply. Hongera kwa kuweza kuaanza kufuga. Ushauri wangu ninkuwa ungeanza na kuku wa lika moija (the same age) ua hapo wangeanza kutaga wakauyu mmoja na hapo ugeweza kupata tray 1.5 kila siiku. kama unaweza kuanza upya anza na kuku 100

Ili niweze kupata atleast tray 1 kwa siku itabid niwe na matetea wangapi?


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Fuga broilers, uwe unauza baada ya mwezi..
Kuroilers wanakula Sana sana, Nina experience nao Sana

Sent using Jamii Forums mobile app

Sasa mkuu, unaweza kunisaidia jinsi gani naweza kupunguza gharama ya chakula?

Naona, kweli kwenye swala la msosi it's very expensive sana


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
pata elimu sahihi ya ufugaji itakuongoza kufikia ndoto

Ndio maana nimekuja humu, nipate elimu na maarifa kutoka kwa wataalam.. Naamin wataalam humu wapo


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Kama chakula unatengeneza mwenyewe nunua vichanganyio vyako kwenye duka la jumla.
Kama unanua kilichotoka kiwandani chagua aina nzuri sana. Walishe kwa kipimo kutokana na umri wao kutokana na umri kila kuku anakula chakula cha uzito fulani kwa siku. Pia hakikisha hawamwagi kabisa chakula.yaani wale chakula chote.
Vyombo vya chakula vya dukani haviwezi kukusaidia hilo. Itabidi utengeneze hivyo vyombo mwenyewe. Wape dawa ya minyoo kwa wakati kuzuia minyoo maana hupunguza utagaji. Wakague kuhakikisha hawana wadudu kwa nje , chawa, viroboto etc. Wawekee vutagio vya kutosha. Hakikisha wana maji ya kunywa muda wote. Watundikie majani mabichi au wawekee vitamini kwenye maji walau mara tatu kwa wiki
Sasa mkuu, unaweza kunisaidia jinsi gani naweza kupunguza gharama ya chakula?

Naona, kweli kwenye swala la msosi it's very expensive sana


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Ili niweze kupata atleast tray 1 kwa siku itabid niwe na matetea wangapi?


Sent from my iPhone using JamiiForums
Ili niweze kupata atleast tray 1 kwa siku itabid niwe na matetea wangapi?


Sent from my iPhone using JamiiForums

at least itakubindi uwe na mitetea 40 na wanapata chakula bora na maji safi pia hawasumbuliwi na magonjwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…