Aisee...! Ila kuna magari roho ya paka. GX 100 cresta linabwia oil yoyote. Kuna siku nilienda service oil ikatoka kama Lita moja tu kama maji! Huku mtaani nilikuwa nalikamua kishenzi.Naona Sae-40,maji ya bomba,kutoa thermostat kumeshaleta majibu kwny engine tayari.
Hahah hii machine 1g-fe ni yenyewe aisee,kwa shida na raha.Aisee...! Ila kuna magari roho ya paka. GX 100 cresta linabwia oil yoyote. Kuna siku nilienda service oil ikatoka kama Lita moja tu kama maji! Huku mtaani nilikuwa nalikamua kishenzi.
Vigari vidogo ukiki-abuse kidogo tu unachoma engine.
Vigari vya siku hizi vinataka care kama kuku wa kisasa..Aisee...! Ila kuna magari roho ya paka. GX 100 cresta linabwia oil yoyote. Kuna siku nilienda service oil ikatoka kama Lita moja tu kama maji! Huku mtaani nilikuwa nalikamua kishenzi.
Vigari vidogo ukiki-abuse kidogo tu unachoma engine.
Watu hawajui,kama unahitaji gari ikupitishe kipindi cha mpito ni hizi GX100 wao wanakimbilia IST na Passo wanafikiria mafuta tu. Mimi ninayo siiuzi huwa inakaa kusubiri hali ngumu ndio naitumia. Watu kibao wananisumbua niwauzieHahah hii machine 1g-fe ni yenyewe aisee,kwa shida na raha.
Nilishakaaga nayo mwaka 1 na miezi kama 5 sijabadili oil wala nini na wala haikuwahi hata kuleta shida yoyote.
Unajua mark x kubeba mifuko ya cement hakuifanyi iwe pick up.Vp kuhusu hivi vi IT kama passo na ist tunavyokimbizana navyo barabarani kwenye mikoani na nje ya nchi, madereva wao wanavicharaza ipasavyo
Watu hawajui,kama unahitaji gari ikupitishe kipindi cha mpito ni hizi GX100 wao wanakimbilia IST na Passo wanafikiria maisha tu. Mimi ninayo siiuzi huwa inakaa kusubiri hali ngumu ndio naitumia. Watu kibao wananisumbua niwauzie
Kwenye wese lazima ujipange. Bajeti yangu ilikuwa 400,000-500,000 kwa mwezi. Hili mpaka nifanane naloHio sio ya kuuza kabisa aisee,ile kitu kwa mtu aliyeko dar ili alimiliki na alitumie daily lazima awe mwanaume kweli kweli kwny wese tu.
Mimi nilikua natumia mpk wese la 400,000/month ila nilivyoenda nalo huko mkoani ambako hakuna foleni nilikua natumia 250,000 tu per month.
Nilipiga nalo mzinga mwaka 2016, lkn hua na-plan nimvue mtu tena maana wasiojua kazi yake wanayauza kwa bei rahisi,kiukweli ni gari ambayo haikua na headache hata 1.
Mwongo,Chukua swift old model 1300cc mpaka bukoba unafika!Umenikumbusha Toyota Port nilikuwa nayo ikafanya mchezo huu huu ya kwako iliyokufanyia.
Nadhani hizi gari toyota zenye cc chini ya 1700 si recommended kwa safari ndefu. Ni in town cars.
Safari ndefu inabidi uende mwendo wa kobe kwa kupumzika pumzika.
Kama ni mtu wa safari utlist pendelea cc kuanzia 2000 kwenda mbele. Ikiwa six unaenjoy safari zaidi.
Nshasema, ukitumia crown kubebea tofali haibadiliki kuwa fuso. Itabeba ndio ila in time itakupa matokeo.Mwongo,Chukua swift old model 1300cc mpaka bukoba unafika!
broo hako kagari hukupaswa kukapigisha masafa hayo non stop ulika overdoz ndio maana kameua injin..dar moro sawa au dar dodoma sawa tena sio non stop kwa speed hapana..
Huyo jamaa ni mzembe Kwenye kutunza gari kwasabb kama Safar ndefu mimi mwenyewe nimefanya safar nyingi Tu ndefu na carina ti na sijapata shida yeyote njiani,mwaka Jana December nimefanya Safar kutoka DAR,Mwanza Hadi bunda na nikaingia mwibara,kisorya Hadi ukerewe na gari ilikuwa poa mwanzo mwisho..Na mimi napata hisia hizo zaidi ya asilimia 95...[emoji37][emoji37]
Kwa sababu nina mshkaji wangu yupo Dar ana Toyota porte...kwao ni Kagera na ameshaenda nayo Kagera mara mbili bila shida..
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo jamaa ni mzembe Kwenye kutunza gari kwasabb kama Safar ndefu mimi mwenyewe nimefanya safar nyingi Tu ndefu na carina ti na sijapata shida yeyote njiani,mwaka Jana December nimefanya Safar kutoka DAR,Mwanza Hadi bunda na nikaingia mwibara,kisorya Hadi ukerewe na gari ilikuwa poa mwanzo mwisho..
Gari yeyote ukishaanza kutumia maji ya dawasco badala ya coolant usitegemee gari hiyo kudumu mazingira yetu
Mkuu altezza nayo unaionaje,ni roho ya paka gx 100?Watu hawajui,kama unahitaji gari ikupitishe kipindi cha mpito ni hizi GX100 wao wanakimbilia IST na Passo wanafikiria mafuta tu. Mimi ninayo siiuzi huwa inakaa kusubiri hali ngumu ndio naitumia. Watu kibao wananisumbua niwauzie
Altezza sina uzoefu nayo.Mkuu altezza nayo unaionaje,ni roho ya paka gx 100?
Poa mkuu,mark x nayo vipi?Altezza sina uzoefu nayo.
Mark X engine kubwa haiwezi kuharibika kwa kukimbia au hard driving yoyote,ni nzuri kwa trip za mikoani mwenye lami. Ila body na vitu vingine sio vigumu ni laini laini.Poa mkuu,mark x nayo vipi?
Alteza ni gari linalohitaji matunzo sana ya body kuliko hata IST...Mkuu altezza nayo unaionaje,ni roho ya paka gx 100?
Ahsante kiongozi 👏Mark X engine kubwa haiwezi kuharibika kwa kukimbia au hard driving yoyote,ni nzuri kwa trip za mikoani mwenye lami. Ila body na vitu vingine sio vigumu ni laini laini.
Wajapan washaacha kutengeneza vyuma vigumu design ya Cresta GX100 sasa ni mwendo wa sura nzuri laini laini.