Mpigadili Tz
JF-Expert Member
- May 4, 2015
- 1,093
- 2,046
Habari zenu, kuna wakati nikila kitu huwa nahisi kama joto tumboni hata kama maji ya baridi japo sio mara zote ni mara chache sana hii husababishwa na nini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AhsanteUnapokula mfano vyakula gani mbali na maji.....jaribu kwenda hospital unaweza kuwa na vidonda vya tumbo
Kumbe wa kiume? Acha kula maharage na kutumia pilpil inaweza ikawa vidonda vya tumbo!Duh nitake radhi bhana
Weka vizuri mkuu kua kama ana vidonda vya tumbo asitumie maharage na pilipiliKumbe wa kiume? Acha kula maharage na kutumia pilpil inaweza ikawa vidonda vya tumbo!
Huwa inatokea nikikaa mda mrefu bila kula ndo inatokea hali hiyo mfano nisipokula mchana alafu usiku nikila ndo hutokea na vyakula ni hata ugaliUnapokula mfano vyakula gani mbali na maji.....jaribu kwenda hospital unaweza kuwa na vidonda vya tumbo
Hizo ni dalili za vidonda vya tumbo, hakikisha hukai na njaa kwa muda mrefu, vile vile kama ni mtumiaji wa pilipili acha mara moja na hakikisha unaenda hospitali haraka. Pia njaa nayo inasababisha tumbo kuwa moto.Huwa inatokea nikikaa mda mrefu bila kula ndo inatokea hali hiyo mfano nisipokula mchana alafu usiku nikila ndo hutokea na vyakula ni hata ugali