Son.j
JF-Expert Member
- Jan 10, 2013
- 1,010
- 2,356
Husika na mada hapo juu. Mimi ni mhitimu wa diploma ya elimu since 2017. Mwaka 2019 nikaaply degree na nilichaguliwa lkn sikwenda baada ya kuwaza sana nikaona nifanye mishe kwanza kwa hela kidogo nliyonayo badala ya kupoteza 3 yrs chuo alaf nianze kuhangaika na ajira, nikiwaza kwamba nitaenda kusoma nikishaajiriwa nikiwa kazini yaan.
Nikaanza biashara mambo hayakuwa mazuri sana lkn kadri sku znavoenda mambo yakaanza kunyooka, miaka yote hiyo nilikuwa na apply pale nafasi zinapotangazwa, hata hivo nilikuwa nafanya biashara kwa mtazamo kwamba ipo siku ntaondoka tu kwahyo skuwa committed saaaana(thing that i regret) coz mwaka jana nlipokosa ajira nkajitosa nkaweka nguvu kubwa kwenye kazi nnayofanya ikiwemo kuboresha ofice na kununua mashine za kazi, ambapo sasa hivi naona return ya effort nliyoweka last year, since nna uhakika wa kupata profit ya 20-30k per day. Nkaanza kutoa wazo la ajira kichwani until now.
The thing here is.
*Kwenye biashara soko linayumba sana nowdays(nafanya biashara ya vifaa vya simu)
*kwenye biashara kuna ushindani hadi kulogana kupo
*kuna matukio ya uwizi na moto kitu ambacho in a single morning unafungua milango unajikuta maskini huna kitu kabisa.. gone
*kodi nazo zinapanda hasa za TRA pia kunakutolewa kwenye pango ulilopo, location ina matter. Yaani hapo sina uhakika.
Kwenye ajira.
*Since ni ualimu probably ntapangiwa kijijini sana ambapo fursa ni chache na changamoto ni nyingi.
*kuutegemea tu mshahara as income yani mwezi to mwezi
*kazi ni ngumu( imagine kumtoa mtu ujinga) na utakuta darasa lina wanafunzi 269 huko
After all japo ualimu ni wito but Tumbo first jamani.
Mambo ni mengi wapendwa ila mimi kwa ufupi nimeshayapenda haya maisha nnayoyaishi sasa, am just curious about a future. Mnishauri wenzenu nikomae au ni apply tu
N.B sijawaza kufanya vyote since biashara kwa sasa usipo simamia mwenyewe unakula hasara nzuri tu.
Nikaanza biashara mambo hayakuwa mazuri sana lkn kadri sku znavoenda mambo yakaanza kunyooka, miaka yote hiyo nilikuwa na apply pale nafasi zinapotangazwa, hata hivo nilikuwa nafanya biashara kwa mtazamo kwamba ipo siku ntaondoka tu kwahyo skuwa committed saaaana(thing that i regret) coz mwaka jana nlipokosa ajira nkajitosa nkaweka nguvu kubwa kwenye kazi nnayofanya ikiwemo kuboresha ofice na kununua mashine za kazi, ambapo sasa hivi naona return ya effort nliyoweka last year, since nna uhakika wa kupata profit ya 20-30k per day. Nkaanza kutoa wazo la ajira kichwani until now.
The thing here is.
*Kwenye biashara soko linayumba sana nowdays(nafanya biashara ya vifaa vya simu)
*kwenye biashara kuna ushindani hadi kulogana kupo
*kuna matukio ya uwizi na moto kitu ambacho in a single morning unafungua milango unajikuta maskini huna kitu kabisa.. gone
*kodi nazo zinapanda hasa za TRA pia kunakutolewa kwenye pango ulilopo, location ina matter. Yaani hapo sina uhakika.
Kwenye ajira.
*Since ni ualimu probably ntapangiwa kijijini sana ambapo fursa ni chache na changamoto ni nyingi.
*kuutegemea tu mshahara as income yani mwezi to mwezi
*kazi ni ngumu( imagine kumtoa mtu ujinga) na utakuta darasa lina wanafunzi 269 huko
After all japo ualimu ni wito but Tumbo first jamani.
Mambo ni mengi wapendwa ila mimi kwa ufupi nimeshayapenda haya maisha nnayoyaishi sasa, am just curious about a future. Mnishauri wenzenu nikomae au ni apply tu
N.B sijawaza kufanya vyote since biashara kwa sasa usipo simamia mwenyewe unakula hasara nzuri tu.