Msaada: Nilime mazao gani.

Msaada: Nilime mazao gani.

ulove

Senior Member
Joined
Jul 13, 2014
Posts
149
Reaction score
34
Habari wajf mm nmehitimu chuo july wakati naendelea kutafuta kazi nataka nijikite kwenye kilimo kuna shamba maeneo ya malela ningependa kuuliza ni mazao gani yatakayofaa kuanzia na ambayo yataweza kunitoa.ahsanteni
 
Kwa malela better ulime matikiti but Yale ya green and white Mbegu tumia f1 me mwenyewe nnafanya hcho kilimo hukohuko malela mbele ya Vianzi...kila la kher mkuu
 
Back
Top Bottom