Msaada: Nilisimamishwa kazini na kuambiwa nitaitwa, zimepita siku 6 na sijui hatma yangu

Msaada: Nilisimamishwa kazini na kuambiwa nitaitwa, zimepita siku 6 na sijui hatma yangu

Nashauri ufuatilie ujue nini kinaendelea

Kwa vyovyote itakavyokuwa,inatakiwa huitwe na mwajiri wako pamoja na shahidi utakaye mchagua wewe,kikao kiwe na watu wasiopungua watatu

Hapo unatakiwa usikilizwe kwa shida iliyokupata,na kuwe na taarifa za kikao mlichokaa,na nakala uwe nayo

Then waajir wako wanatakiwa kukuita tena kukupa mrejesho ima wanakuachisha au kukurudisha kazini,,hatua hizi zisipo fuatwa zitakupa unafuu katika baraza la usuluhishi

Lakini kisheria kuacha kwenda kazini zaidi ya siku sita bila taarifa yoyote huwa kama umejifukuzisha kazi,,lkn kama ulivyosema lazima usikilizwe
 
Pole sana kwa changamoto iliyokusibu,kabla ya kujua sababu iliyokufanya ukae nyumbani ni ipi naomna kuuuliza kuwa ulipoambiwa urudi nyumbani utaitwa je ulipewa taarifa kwa mdomo au maandishi?nakushauri Jumatatu uingie kazini kama kawaida na kama itawezekana usaini attendance kuonyesha uliingia akzini pamoja na muda uliotoka,sababu si sheria kwa mfanyakazi kubaki nyumbani baada ya kuandika maelezo juu ya utoro kazini bali huwa anaendelea na kazi huku taratibu zingine zikiendelea,vinginevyo labda ulikuwa ukishutumiwa wa makosa mengine zaidi(Uzembe uliokithiri na kusababisha hasara kwa kampuni)ambayo inahitaji uchunguzi kufanyika kubaini uzembe husika huku ukiwa nyumbani,japo kuwa pia huwa inaambatana na barua na sababu za wewe kubaki nyumbani huku ukiwa unaendelea kupokea mshahara kama kawaida.
Mjaze ujinga
 
Kwa mashirika na makampuni binafsi huwa ni siku tatu usipoonekana kazini bila taarifa ushajifukuzisha tayar

Lkn kwa serikali ni shamba la bibi hakueleweki
 
Kabla ya yote ingekuwa vema kufahamu ajira yake alipewa mkataba akasaini au ni zile ajira za kuitwa kazini unaanza kazi maisha yana endelea.
Kisheria kuna mikataba ya aina mbili,,mkataba wa mdomo na maandishi

Mfanyakazi akifanya kazi kwako siku sita mfululizo ujue huyo anatambulika kuwa ni mfanyakazi wako period
 
Hujaeleza sababu za kutotoa taarifa, ulilazwa Hospital, uliwekwa mahabusu au ulipata msiba? Kama uliamua kutokwenda kazini na hukutoa taarifa kwa siku sita umelala ndani basi unastahili kufukuzwa kazi
 
Either way you have to be responsible for your absence and negligence.
Hakuna sababu ya kushindwa kutumia njia yoyote ile kutoa taarifa nini kimekukuta unlesss you were hospitalized and unconscious.
Hata ingekuwa upo mahabusu jela.
Siku 6 ni nyingi mno
Pole sana kwa changamoto iliyokusibu,kabla ya kujua sababu iliyokufanya ukae nyumbani ni ipi naomna kuuuliza kuwa ulipoambiwa urudi nyumbani utaitwa je ulipewa taarifa kwa mdomo au maandishi?nakushauri Jumatatu uingie kazini kama kawaida na kama itawezekana usaini attendance kuonyesha uliingia akzini pamoja na muda uliotoka,sababu si sheria kwa mfanyakazi kubaki nyumbani baada ya kuandika maelezo juu ya utoro kazini bali huwa anaendelea na kazi huku taratibu zingine zikiendelea,vinginevyo labda ulikuwa ukishutumiwa wa makosa mengine zaidi(Uzembe uliokithiri na kusababisha hasara kwa kampuni)ambayo inahitaji uchunguzi kufanyika kubaini uzembe husika huku ukiwa nyumbani,japo kuwa pia huwa inaambatana na barua na sababu za wewe kubaki nyumbani huku ukiwa unaendelea kupokea mshahara kama kawaida.
Asante sana kweli kwenye miti mingi hakukosi wajenzi,ww unastahili kupewa tunzo ya busara na hekima.nimefurahishwa sana na majibu yako bila shaka we ni msomi uliye Kaa darasani ukaelewa vema
 
Watakuita tu huwezi fukuzwa kimya kimya
 
  • Thanks
Reactions: Tsh
Subiri uone kama mshahara utaingia, usipoingia jiongeze, ukiingia subiri maelekezo.
 
Nilifanya kosa kazini sikuingia kama siku sita hivi bila ruhusa, siku niliyoingia kazini niliambiwa niandike maelezo, baada ya kuandika maelezo niliambiwa nirudi nyumbani nitaitwa.

Zimepita siku nyingi sijaitwa na Wala sijui hatima yangu nini hadi sasa, je kisheria inatakiwa nikae siku ngapi Ili kesi yangu isikilizwe ?
Nafikiri standing order iko wazi, hujafika kazini sk 5 mfululizo bila taarifa wala ruhusa umejifukujiza kazi.
 
Kabla ya yote ingekuwa vema kufahamu ajira yake alipewa mkataba akasaini au ni zile ajira za kuitwa kazini unaanza kazi maisha yana endelea.
Uko sahihi,lakini haijalishi aina ya Mkataba aliona maana Haki,wajibu pamoja na Tartibu zote za kazi zinapaswa kufuatwa bila kuangalia Mkataba ni wa maandishi au mdomo,Muhimu tu ameshamaliza kufanya kazi na Mwajiri kwa Zaidi ya siku 6
 
Case ngumu kama kuvunja mkataba ni wewe umeshavunja kwa kutofika bila taarifa,

Kutofika sio kosa , shida haukutoa taarifa ingawa hatujui kilichofanya isitoe taarifa lakini kisheria taarifa ni lazima na usipotoa inahesabika kuvunja makubaliano(mkataba).

Maswala ya kisheria unaweza kutafuta mawakili wakushauri ila hapo aggregate 2-0
 
Nilifanya kosa kazini sikuingia kama siku sita hivi bila ruhusa, siku niliyoingia kazini niliambiwa niandike maelezo, baada ya kuandika maelezo niliambiwa nirudi nyumbani nitaitwa.

Zimepita siku nyingi sijaitwa na Wala sijui hatima yangu nini hadi sasa, je kisheria inatakiwa nikae siku ngapi Ili kesi yangu isikilizwe ?
Pole sanaa aiseee, duuu! Na hali jinsi ilivyo nimejisikia huruma sana.
 
Zingatia hii itakusaidia
1: Usitoe maoni kwenye kitu usicho kijua.
2: Usikulupuke kipindi unaamua kufany jambo
3: Uliza sababu iliyopelekea kushindwa kutoa taarifa kazini alafu ndio uniite (mpumbavu)
Waw! Kwa hiki ulichoandika hapo 👆 👆 👆 Kumbe wewe una akili nzuri na hekima. Sasa Unashindwaje kujikwamua unakuja huku kutu-enjoy siyo?
Ni hakika kweli ww sio mpumbavu.
 
Endelea kudeka.Wewe upo nje ya kazi siku 6 halafu unataka shauri lako lishughulikiwe haraka kwa uzembe uliofanya?Maajabu.
 
Back
Top Bottom