Etugrul Bey
JF-Expert Member
- Aug 6, 2020
- 6,514
- 15,247
Mjaze ujingaPole sana kwa changamoto iliyokusibu,kabla ya kujua sababu iliyokufanya ukae nyumbani ni ipi naomna kuuuliza kuwa ulipoambiwa urudi nyumbani utaitwa je ulipewa taarifa kwa mdomo au maandishi?nakushauri Jumatatu uingie kazini kama kawaida na kama itawezekana usaini attendance kuonyesha uliingia akzini pamoja na muda uliotoka,sababu si sheria kwa mfanyakazi kubaki nyumbani baada ya kuandika maelezo juu ya utoro kazini bali huwa anaendelea na kazi huku taratibu zingine zikiendelea,vinginevyo labda ulikuwa ukishutumiwa wa makosa mengine zaidi(Uzembe uliokithiri na kusababisha hasara kwa kampuni)ambayo inahitaji uchunguzi kufanyika kubaini uzembe husika huku ukiwa nyumbani,japo kuwa pia huwa inaambatana na barua na sababu za wewe kubaki nyumbani huku ukiwa unaendelea kupokea mshahara kama kawaida.
Nilikuwa namzingua tu π€£π€£Mbona miaka 10 ni minhi sasa? Kwani ukisimamishwa kazi unaweza kushtaki?
Kisheria kuna mikataba ya aina mbili,,mkataba wa mdomo na maandishiKabla ya yote ingekuwa vema kufahamu ajira yake alipewa mkataba akasaini au ni zile ajira za kuitwa kazini unaanza kazi maisha yana endelea.
Either way you have to be responsible for your absence and negligence.
Hakuna sababu ya kushindwa kutumia njia yoyote ile kutoa taarifa nini kimekukuta unlesss you were hospitalized and unconscious.
Hata ingekuwa upo mahabusu jela.
Siku 6 ni nyingi mno
Asante sana kweli kwenye miti mingi hakukosi wajenzi,ww unastahili kupewa tunzo ya busara na hekima.nimefurahishwa sana na majibu yako bila shaka we ni msomi uliye Kaa darasani ukaelewa vemaPole sana kwa changamoto iliyokusibu,kabla ya kujua sababu iliyokufanya ukae nyumbani ni ipi naomna kuuuliza kuwa ulipoambiwa urudi nyumbani utaitwa je ulipewa taarifa kwa mdomo au maandishi?nakushauri Jumatatu uingie kazini kama kawaida na kama itawezekana usaini attendance kuonyesha uliingia akzini pamoja na muda uliotoka,sababu si sheria kwa mfanyakazi kubaki nyumbani baada ya kuandika maelezo juu ya utoro kazini bali huwa anaendelea na kazi huku taratibu zingine zikiendelea,vinginevyo labda ulikuwa ukishutumiwa wa makosa mengine zaidi(Uzembe uliokithiri na kusababisha hasara kwa kampuni)ambayo inahitaji uchunguzi kufanyika kubaini uzembe husika huku ukiwa nyumbani,japo kuwa pia huwa inaambatana na barua na sababu za wewe kubaki nyumbani huku ukiwa unaendelea kupokea mshahara kama kawaida.
Nafikiri standing order iko wazi, hujafika kazini sk 5 mfululizo bila taarifa wala ruhusa umejifukujiza kazi.Nilifanya kosa kazini sikuingia kama siku sita hivi bila ruhusa, siku niliyoingia kazini niliambiwa niandike maelezo, baada ya kuandika maelezo niliambiwa nirudi nyumbani nitaitwa.
Zimepita siku nyingi sijaitwa na Wala sijui hatima yangu nini hadi sasa, je kisheria inatakiwa nikae siku ngapi Ili kesi yangu isikilizwe ?
Uko sahihi,lakini haijalishi aina ya Mkataba aliona maana Haki,wajibu pamoja na Tartibu zote za kazi zinapaswa kufuatwa bila kuangalia Mkataba ni wa maandishi au mdomo,Muhimu tu ameshamaliza kufanya kazi na Mwajiri kwa Zaidi ya siku 6Kabla ya yote ingekuwa vema kufahamu ajira yake alipewa mkataba akasaini au ni zile ajira za kuitwa kazini unaanza kazi maisha yana endelea.
Inategemea ni wapi. Kama ni mbeba box kiwanda cha mhindi anaweza sahaulika kama alikuwepo.Watakuita tu huwezi fukuzwa kimya kimya
Pole sanaa aiseee, duuu! Na hali jinsi ilivyo nimejisikia huruma sana.Nilifanya kosa kazini sikuingia kama siku sita hivi bila ruhusa, siku niliyoingia kazini niliambiwa niandike maelezo, baada ya kuandika maelezo niliambiwa nirudi nyumbani nitaitwa.
Zimepita siku nyingi sijaitwa na Wala sijui hatima yangu nini hadi sasa, je kisheria inatakiwa nikae siku ngapi Ili kesi yangu isikilizwe ?
Ni kweliInategemea ni wapi. Kama ni mbeba box kiwanda cha mhindi anaweza sahaulika kama alikuwepo.
Waw! Kwa hiki ulichoandika hapo π π π Kumbe wewe una akili nzuri na hekima. Sasa Unashindwaje kujikwamua unakuja huku kutu-enjoy siyo?Zingatia hii itakusaidia
1: Usitoe maoni kwenye kitu usicho kijua.
2: Usikulupuke kipindi unaamua kufany jambo
3: Uliza sababu iliyopelekea kushindwa kutoa taarifa kazini alafu ndio uniite (mpumbavu)