Entim
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 4,025
- 2,261
Wakubwa shikamooni,
Mimi ni mjasiriamali, naombeni msaada kwa wale wataalamu wa magari.
Leo hii nimetoka kulipia bandarini (TPA) used 1996 hillux double cabin (petrol engine 2000cc) nimenda service nimegundua chasis imeliwa na kutu about 35% kwa upande wa mbele.
Nimejaribu kuomba ushauri nazidi kuchanganyikiwa maana gari yenyewe imenicost tsh 33m (cif+import tax na fine ya uchakavu 3.5m) Fundi wa kwanza ananishauri nikate nusu nikanunue spare nichomelee, wa pili kasema niungeunge hivyohivyo, wa tatu kashauri nishushe chasis nzima niweke mpya.
Naombeni maoni yenu, kejeli na vijembe vitauwa bure pressure imepanda haswa.
Nawasilisha.
Mimi ni mjasiriamali, naombeni msaada kwa wale wataalamu wa magari.
Leo hii nimetoka kulipia bandarini (TPA) used 1996 hillux double cabin (petrol engine 2000cc) nimenda service nimegundua chasis imeliwa na kutu about 35% kwa upande wa mbele.
Nimejaribu kuomba ushauri nazidi kuchanganyikiwa maana gari yenyewe imenicost tsh 33m (cif+import tax na fine ya uchakavu 3.5m) Fundi wa kwanza ananishauri nikate nusu nikanunue spare nichomelee, wa pili kasema niungeunge hivyohivyo, wa tatu kashauri nishushe chasis nzima niweke mpya.
Naombeni maoni yenu, kejeli na vijembe vitauwa bure pressure imepanda haswa.
Nawasilisha.