Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Trade car view gari zao hua expensive kidogo kulinganisha na be forward lkn uzuri wake zinakua Na km chacheMkuu pole sana!mambo ya kuagiza magari online ni changamoto,hebu tuwekee hapa mtandao ulioagizia mkuu ili wadau waujue manake hii ni kesi yetu sote mkuu,mimi nliagiza gari kwenye tradecarview nlikua sina amani hata kidogo,ila gari ilipoingia ilikua ni ile ile nliyoiona!
hao ndio wahuni hatare,bora hata Beforward..Trade car view gari zao hua expensive kidogo kulinganisha na be forward lkn uzuri wake zinakua Na km chache
Pole Mkuu, hata kama ni used walitakiwa kukuambia ukweli ili ukubaliane nao, mitandao/makampuni mengine huwa yanaonyesha kwa picha hata sehemu zenye scratch ili ukubaliane nayo, ni kwa nini wao hawakukuonyesha hilo, ina maana walikuwa na nia ovu. Wasiliana na wanasheria, watakushauri cha kufanya, kama vipi nenda kalalamike Ubalozini kwao. Siku nyingine tumia wale Wakala wa malipo yaani PaytradeNashukuru sana. Nina inspection certificate na kwa sasa nangalia possibility ya kuwapeleka mahakamani. Ila response yao ya leo eti wanadai kuwa used car has no gurantee. Hivyo kwa kupitia jukwaa hili naweza kusema mimi nimekuwa victim l, na wanaoagiza magari watumie muda mwingi kukagua na kuwauliza wauzaji kuhusu chasis.
Daah be forward ndo Co. Ninayotumia though na wao odometer zao kilometers zao ni shiidahao ndio wahuni hatare,bora hata Beforward..
Hebu fatilia vizuri huo ushauri wa tatu uliopewa, nadhani Unapoweka chasis nyingine tayari hiyo gari inakuwa nyingine kiserikali, nadhani kwa sasa Kiserikali unaweza kubadirisha engine lakini sio chasis, fatilia kwanza mkuu usije ingia kwenye shida siku za mbeleWakubwa shikamooni,
Mimi ni mjasiriamali, naombeni msaada kwa wale wataalamu wa magari.
Leo hii nimetoka kulipia bandarini (TPA) used 1996 hillux double cabin (petrol engine 2000cc) nimenda service nimegundua chasis imeliwa na kutu about 35% kwa upande wa mbele.
Nimejaribu kuomba ushauri nazidi kuchanganyikiwa maana gari yenyewe imenicost tsh 33m (cif+import tax na fine ya uchakavu 3.5m) Fundi wa kwanza ananishauri nikate nusu nikanunue spare nichomelee, wa pili kasema niungeunge hivyohivyo, wa tatu kashauri nishushe chasis nzima niweke mpya.
Naombeni maoni yenu, kejeli na vijembe vitauwa bure pressure imepanda haswa.
Nawasilisha.
Uuuwi, kumbe? NDOO MAANA KWENYE KADI KUNA CHASIS # ENHEE??Hebu fatilia vizuri huo ushauri wa tatu uliopewa, nadhani Unapoweka chasis nyingine tayari hiyo gari inakuwa nyingine kiserikali, nadhani kwa sasa Kiserikali unaweza kubadirisha engine lakini sio chasis, fatilia kwanza mkuu usije ingia kwenye shida siku za mbele
Njia nzuri ni kuirepea hiyo chasisi wapo watu wenye uwezo huo wa kuifanya chasisi yako iwe kwenye hali nzuri tu