abagabo
Senior Member
- Jun 4, 2014
- 155
- 168
Nimeachishwa kazi na mwajiri na akanipa clearance form, nimefanya clearance na kukabidhi kila kitu, jambo ajabu kaninyima barua ya kuniondoa kazini. Anadai eti ataniita kwenye kamati ya ajira na nidhamu ili wanihukumu; swali
1. je nini maana ya kufanya clearance kisheria?
2. mwajiri kuniambia ataniita, je ataniita kama mwajiriwa au mtu wa mtaani?
3. Ni haki gani kisheria?
Suala ili sasa limefikisha miezi 9 tangu litokee na mimi ni mtu wa singida kimakazi na mwajiri yupo musoma.
msaada wa tafadhali
1. je nini maana ya kufanya clearance kisheria?
2. mwajiri kuniambia ataniita, je ataniita kama mwajiriwa au mtu wa mtaani?
3. Ni haki gani kisheria?
Suala ili sasa limefikisha miezi 9 tangu litokee na mimi ni mtu wa singida kimakazi na mwajiri yupo musoma.
msaada wa tafadhali