KakaJambazi
JF-Expert Member
- Jun 5, 2009
- 18,804
- 12,227
Tutafika tu huko.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] tatizo lako hukutaka details na uliposikia Airport ukadhani ni JkIA na nyinginezo...! Airport zipo nyingi ndugu yangu na za aina tofautiJF nimeishindwa
Wanajukwaa nimechanganyikiwa. Ndege yangu aina ya Dash 8 imepotea katika mazingira ya kutatanisha, niliipaki Airport ya Uwanja wa ndege.
Mwenye taarifa anipm tafadhali.
Kwa unavyoona hayo ni Mawazo ya kumiliki ndege?Bora hata wewe una mawazo ya kumiliki ndege kuliko haya maccm kila siku Ulaya kuomba omba.
Hahahakwa kuwa uliipark airport ya uwanja wa ndege naona imesogezwa airport ya uwanja wa fisi. wasiliana na meneja au mwongoza fisi.
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]JF nimeishindwa
Hii huku njoo uichukue nimekuta watu wanainyonya mafuta
Msimchukulie poa mtoa mada Kama kuna madaktari wa magonjwa ya akili mumtafute apelekwe wodini haraka
Sent using Jamii Forums mobile app
.Nimekutana na bashboy akiwa na timu yake wanaijaza vifaa na dawa ya kuspray ili kuuwa vimelea vya coronavirus kwenye jiji lake
HahahaNimekutana na bashboy akiwa na timu yake wanaijaza vifaa na dawa ya kuspray ili kuuwa vimelea vya coronavirus kwenye jiji lake
Hana lolote mzushi tu, tehMsimchukulie poa mtoa mada Kama kuna madaktari wa magonjwa ya akili mumtafute apelekwe wodini haraka
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndege gari au ndege mnyama🤣🤣🤣Wanajukwaa nimechanganyikiwa. Ndege yangu aina ya Dash 8 imepotea katika mazingira ya kutatanisha, niliipaki Airport ya Uwanja wa ndege.
Mwenye taarifa anipm tafadhali.