Msaada: Nimeibiwa ndege yangu Airport

Msaada: Nimeibiwa ndege yangu Airport

JF nimeishindwa
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] tatizo lako hukutaka details na uliposikia Airport ukadhani ni JkIA na nyinginezo...! Airport zipo nyingi ndugu yangu na za aina tofauti
 
Nimei0na mwiz kapta nay0 ndan ya bajaji wah mtaa wa mat0pen kata kush0to panda kulia katiza juu shuka chn
 
Wanajukwaa nimechanganyikiwa. Ndege yangu aina ya Dash 8 imepotea katika mazingira ya kutatanisha, niliipaki Airport ya Uwanja wa ndege.

Mwenye taarifa anipm tafadhali.

kwa kuwa uliipark airport ya uwanja wa ndege naona imesogezwa airport ya uwanja wa fisi. wasiliana na meneja au mwongoza fisi.
 
Hii hapa imepatikana huku kuna jamaa anaiuza
IMG-20200402-WA0054.jpeg


Jr[emoji769]
 
Nimekutana na bashboy akiwa na timu yake wanaijaza vifaa na dawa ya kuspray ili kuuwa vimelea vya coronavirus kwenye jiji lake
 
Back
Top Bottom