Msaada nimeisahau password ya kuingia ajira portal

Msaada nimeisahau password ya kuingia ajira portal

Kumbuka email yako uliyoitumia. Then nenda sehemu ya forgot password. Andikq hyo email. Hivyo password mpya utaipta kwenye email yako. Enjoy ur interview
 
Kumbuka email yako uliyoitumia. Then nenda sehemu ya forgot password. Andikq hyo email. Hivyo password mpya utaipta kwenye email yako. Enjoy ur interview
Jamaa hata Email address yake huenda hakumbuki.

....Vitu kama hivi unatakiwa kuwa na note book yako unaandika maana kuna muda unaweza usiingie huko kwa muda mrefu na inakuwa rahisi kusahau.

Walimu jiongezeni.
 
Jamaa hata Email address yake huenda hakumbuki.

....Vitu kama hivi unatakiwa kuwa na note book yako unaandika maana kuna muda unaweza usiingie huko kwa muda mrefu na inakuwa rahisi kusahau.

Walimu jiongezeni.
Jombaa email naikimbuka ila password ndio kimbembe afu nilifungulia kwenye simu ambayo nilisha uza na Kila nikiingia pale.forget password wananiambia pasword imesha tumwa na simu yenyewe nilisha nywea jamaa ata namba ake Sina kama Kuna namna naweza fanya msaada tafadhali
 
Jombaa email naikimbuka ila password ndio kimbembe afu nilifungulia kwenye simu ambayo nilisha uza na Kila nikiingia pale.forget password wananiambia pasword imesha tumwa na simu yenyewe nilisha nywea jamaa ata namba ake Sina kama Kuna namna naweza fanya msaada tafadhali
Kwamba umesahau password yako.. inshu ya simu haigusiani na email yako ndugu.
 
Back
Top Bottom