Nasema ghafla kwa kuwa nilitarajia nguvu ziishe taratibu with age. Wewe imagine mwanzo nilikuwa napiga goli 6 mfululizo (na mashine hailegei) lakini sasa nikipiga moja tu, mashine inalala doro.....hadi nipumzike takribani saa nzima ndipo nianze show....tena baada ya kuitikisa mashine sana! Yaani hata babu wa miaka 70 nahisi ananizidi pumzi. Inaniuma sana.Kwanini unasema ghafla mkuu?
Sasa mbona performance yangu imeshuka ghafla mkuu?Hujaishiwa nguvu za kiume mkuu...
Kilichotokea ni kushuka kwa hormone ya kiume inaitwa testosterone.
Hormone hii inakuwa iko juu sana kijana anapoingia miaka kuanzia 18 mpaka 21, lakini wengne huchelewa mpaka wanapogonga 30.
Kwa kawaida inatakiwa hormone hii ishuke mara tu unapofika miaka 30 kwa kiwango cha 1% au 2% kwa mwaka, lakin wengine hushuka kwa haraka sana kwa sababu nyingi mno.
Lazima uangalie lifestyle yako kama inasababisha kushuka kwa hormone hii ikiwemo pombe au stress au sectual motivation au kula vyakula vyenye hormone ya kike kwa wingi inayoitwa estrogen.
Estrogen ni hormone ya kike inayoleta tabia za kike na Testosterone ni ya kiume inajenga mambo ya kiume, kawaida mazingira yana mpambano wa kila siku wa hormone ya kiume na kike, ambapo ya kiume ikizidi unakuwa na tabia nyingi a kiume na maumbile ya kiume kweli kweli, mambo kama kupiga show za kibabe, mambokama kumwaga bao jingi mpaka unajishangaa, mambo kama sauti nzito, mambo kama kuwa rough sana na kutojipenda, mambo kama kujenga misuli ya mwili mambo kama hasira za kupenda ugomvi na mengineyo.
Za kike zikizidi unaanza kujenga mambo ya kike kama kupenda utulivu wa kukaa nyumbani, mambo kama kupenda ubuyu mambo kama kuvimba kwa matiti na kuwa na chuchu za kike wakati wewe mwanaume , mambo kama kupungua kwa ashki za ngono, uume kupungua kusimama nyakati za asubuhi na vitu vingine.
Unatakiwa upambane upate balance ya hormone katika mwili, kwa maana ya kuhakikisha hauli vyakula vyenye kuleta sana hormone ya kike na kupendelea kula vyakula vyenye hormone ya kiume.
Punguza pombe, vyakula vya kukoboa, punguza stress, punguza sigara, punguza kuala masaa machache, punguza sukari.
Lakini kumbuka pia kupungua kwa hormone hii ni jambo la kawaida kiafya, tatizo linapokuja ni pale inaposhuka kwa haraka.
Itabidi aanze na wewe...Embu kajaribu ligi za nje .
Avatar uloitoa ilikua sawa na Gauni jekundu machoni pa mwanaume...hii uloiweka nikm Gauni jeusi gizan.
Kweli kabisa ni cute yule yule napengine labda ndo amezidi kunoga kiasi cha kukushawishi urudi nyumban...sema ili ilinoga zaidi ,nilikua nikiiona tu najua niww, hiii mpaka nisome jina kwa makini [emoji23]Daaah. Ila ni cute yule yule.
Acha ngono mkuu. Njoo tujenge viwandaOumofia kwenu?
Ili nisiwachoshe, naingia kwenye mada moja kwa moja. Mimi ni mwanaume mwenye umri wa miaka 36, naishi Dar es Salaam. Siku za hivi karibuni nimepatwa na tatizo la kuishiwa nguvu za kiume ghafla pasipo sababu za msingi. Zamani nilikuwa na uwezo wa kupiga show ya kibabe hadi nafunga goli 6 au zaidi kwa usiku mmoja. Kuna siku nakumbuka nilipiga show na demu wangu mpaka akawa analia na kulalamika kuwa nimemchubua. Nilidhani katia mpira kwapani lakini nilipomchungulia kwa umakini niliona michubuko mingi kunako eneo husika. Kumbuka tangu zamani mimi huwa nacheza show pekupeku.
Sasa kama nilikuwa na uwezo mkubwa kiasi hiki tatizo langu ni nini? Ni hivi: Sasa hivi naweza kukaa mwezi mzima bila kupiga show halafu nikawa niko vizuri tu. Kabla ya hapo nilikuwa zimalizi wiki 2! Baada ya mwezi mmoja kuna wakati ashki zinakuja kidogo na ikiwa sikupata huduma sometimes napata wet dreams za hapa na pale lakini kila nikipata dream, nikijikagua najikuta niko msafi – chombo hakitemi (kama ilivyokuwa zamani). Nime-experience wet dreams mara 2, tena kwenye drems napiga show hadi mwisho, cha ajabu hakuna dalili zozote za ‘kuchafuka’!
Hili ni tatizo, tena tatizo kubwa sana. Waswahili walisema “tatizo lisikie kwa mwenzako” sasa naona majanga yamegeukia kwangu. Siku zote nimekuwa nasikia watu wakilalamika kuishiwa nguvu za kiume, nikawa nadhani ni masikhara. Sasa nimeamini kweli kuna kuishiwa nguvu za kiume. Hali hii imenipa wasisi mkubwa sana na kunisababishia mzongo mkubwa wa mawazo, hasa ukizingatia kwamba idadi ya watoto niliotarajia kuzalisha bado haijatimia. Hivyo, naomba ushauri wenu wakuu. Nifanyeje ili kurudisha nguvu zangu zilizopotea? Naona aibu kwenda kupanga foleni kwa Sangoma katika umri huu. Ni juzi tu mwanaume mmoja aliripotiwa kufariki, wakati akipata tiba kwa mganga ambapo mganga huyo alikuwa akiingiza dawa kupitia kwenye mrija wa uume. Naogopa sana. Ushauri wenu ni muhimu sana wakuu.
Nawasilisha.
Mkuu hata nikijaribu kuzitoa daily napiga kigoli 1 tu, nikitaka kupiga la pili mpaka nitikise mashine kama babu. Halafu hata nikiwa na wet dreams mbegu hazitoki....jambo ambalo si la kawaida kwa mtu mwenye nguvu zake. Hili ni tatizo kubwa sana.mkuu nguvu hazijeisha sema tu speed ya kuzitoa ndo imepungua
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Mkuu! Hiyo kawaida! Kama utakumbuka erection ya wakati wa adolescent ilikua so strong kiasi cha uume kukaribia kitovu. Lakini umri unavyozidi kwenda haya hupungua. Life style sanasana ni chanzo kikubwa. Jaribu kutazama life style yako ya sasa na wakati ulipokua fit.
Asante kwa ushauri kuntu mkuu. Kwa ufupi mm sivuti sigara na sinywi kileo chochote. Najitahidi sana kula vyakula na vinywaji vya asili, na ninaepuka sana vinywaji vyenye kemikali za sumu kama vile soda na juice. Nashangaa kushuka kwa utendaji kazi wangu ghafla hadi mama watoto wangu amenishtukia. Naogopa kugongewa mke na wanaume wengine, ndio maana tangu tatizo hili linikute nalala usingizi wa mang'amung'amu. Inaniuma sana.Hujaishiwa nguvu za kiume mkuu...
Kilichotokea ni kushuka kwa hormone ya kiume inaitwa testosterone.
Hormone hii inakuwa iko juu sana kijana anapoingia miaka kuanzia 18 mpaka 21, lakini wengne huchelewa mpaka wanapogonga 30.
Kwa kawaida inatakiwa hormone hii ishuke mara tu unapofika miaka 30 kwa kiwango cha 1% au 2% kwa mwaka, lakin wengine hushuka kwa haraka sana kwa sababu nyingi mno.
Lazima uangalie lifestyle yako kama inasababisha kushuka kwa hormone hii ikiwemo pombe au stress au sectual motivation au kula vyakula vyenye hormone ya kike kwa wingi inayoitwa estrogen.
Estrogen ni hormone ya kike inayoleta tabia za kike na Testosterone ni ya kiume inajenga mambo ya kiume, kawaida mazingira yana mpambano wa kila siku wa hormone ya kiume na kike, ambapo ya kiume ikizidi unakuwa na tabia nyingi a kiume na maumbile ya kiume kweli kweli, mambo kama kupiga show za kibabe, mambokama kumwaga bao jingi mpaka unajishangaa, mambo kama sauti nzito, mambo kama kuwa rough sana na kutojipenda, mambo kama kujenga misuli ya mwili mambo kama hasira za kupenda ugomvi na mengineyo.
Za kike zikizidi unaanza kujenga mambo ya kike kama kupenda utulivu wa kukaa nyumbani na kuangalia tamthilia za mapenzi asubuhi mpaka jioni, mambo kama kupenda ubuyu, mambo kama kuvimba kwa matiti na kuwa na chuchu za kike wakati wewe mwanaume , mambo kama kupungua kwa ashki za ngono, uume kupungua kusimama nyakati za asubuhi na vitu vingine.
Unatakiwa upambane upate balance ya hormone katika mwili, kwa maana ya kuhakikisha hauli vyakula vyenye kuleta sana hormone ya kike na kupendelea kula vyakula vyenye hormone ya kiume.
Punguza pombe, vyakula vya kukoboa, punguza stress, punguza sigara, punguza kunywa soda sana, punguza kuala masaa machache, punguza sukari kwenye vyakula vyako.
Lakini kumbuka pia kupungua kwa hormone hii ni jambo la kawaida kiafya, tatizo linapokuja ni pale inaposhuka kwa haraka.
Pia kumbuka mwili una hormone zote za kiume na kike.
Nashukuru kwa ushauri wako mkuu. Sasa hapa Dar kuna hospitali inayoweza kupima kiwango cha hormone au mpaka niende Apollo mkuu?Kabla hujafanya chochote nenda kapime homoni zako,sukari, pressure, moyo. Ukikuta uko fresh, piga tu mazoezi
Asante kwa ushauri mkuu. Ila wasiwasi wangu ni kule kushuka kwa ghafla maana nilitarajia zipungue kidogo kidogo kadri umri unavyosonga lakini nashangaa mambo yamekuwa tofauti.Mkuu! Hiyo kawaida! Kama utakumbuka erection ya wakati wa adolescent ilikua so strong kiasi cha uume kukaribia kitovu. Lakini umri unavyozidi kwenda haya hupungua. Life style sanasana ni chanzo kikubwa. Jaribu kutazama life style yako ya sasa na wakati ulipokua fit.