Msaada: Nimeishiwa nguvu za kiume ghafla!

Msaada: Nimeishiwa nguvu za kiume ghafla!

vijana wengi wanachanganya kufanya mapenzi na ku have sex.. kama unafanya mapenzi why umchubue mwenzio na magonjwa kama haya? au unafanyaje kumkomoa/ so wanatakiwa kupewa darasa la mapenzi.. na kunatakiw akuwe kumeloana na si kukavu kwa sabab kuna pokuw akikavu kunasababisha huko kuchubuke. na hiyo si raha ya mapenzi.
Pole mkuu! Over use of hiyo kitu is harmful too! Alafu kumchubua mwanamke haimaanishi unagegeda sana, inamaanisha alikua mkavu. Nenda hospitali mapema kama unahofia kwa waganga...
 
vijana wengi wanachanganya kufanya mapenzi na ku have sex.. kama unafanya mapenzi why umchubue mwenzio na magonjwa kama haya? au unafanyaje kumkomoa/ so wanatakiwa kupewa darasa la mapenzi.. na kunatakiw akuwe kumeloana na si kukavu kwa sabab kuna pokuw akikavu kunasababisha huko kuchubuke. na hiyo si raha ya mapenzi.
Yaani!!! Mtu anasugua kama anakwangua tangawizi!!!
 
vijana wengi wanachanganya kufanya mapenzi na ku have sex.. kama unafanya mapenzi why umchubue mwenzio na magonjwa kama haya? au unafanyaje kumkomoa/ so wanatakiwa kupewa darasa la mapenzi.. na kunatakiw akuwe kumeloana na si kukavu kwa sabab kuna pokuw akikavu kunasababisha huko kuchubuke. na hiyo si raha ya mapenzi.
Wengine wanaloa sema maumbile yao ndo madogo mkuu.
 
ile lubricant ni kwa ajili ya kulainisha .. umbile la mwanamke linatanuka na kusinyaa. bado haiwezi ikawa sababu ya kuchubua. ni kama elastic sema vijana wanapenda sana kuwachubukua huko ndani ndo wanaona wamepiga sana show... show ya kibabe. na akina dada msikubali kuchubuliwa au kutengenezewa vidonda huko ndani ndo mwanzo wa kupata magonjwa na matatizo ukeni. mapenzi ni raha so kama kunauma mwambie akuandae tena ujisikie raha... kupeana ni kikoa ati... mpe akupe mapenzi.
Wengine wanaloa sema maumbile yao ndo madogo mkuu.
 
Pole kwa tatizo lako, ingawa hujasema kwa sasa una uwezo wa kupiga bao ngapi! Zamani ulikuwa na uwezo wa kupiga bao 6, ninacho kijua Mimi ukikaa muda mrefu bila kupiga show uwezo wako unapungua kuliko ukiwa unapiga show za karibu karibu, jaribu kufanya hivyo halafu utupe mrejesho!
 
Kwa maelexo uliyoandika inaonyesha wazi kabisa ulianza kupungukiwa akili kabla ya kupungukiwa nguvu za kiume. Hebu niambie ni mwanaume gani mwenye akili timamu analowekaloweka tu uume wake hovyohovyo kwenye nyuchi za mabinti bila kinga?
 
Tafuta mbegu za maboga haraka sana na kula tikitiki sana acha kula wali na chipsi jipumzishe na sex kwa miezi 2 tu wakati huo unafata huu ushauri wangu

Na usiwaze kabisa kuhusu sex

Utakuja niambia hapa
 
Nasema ghafla kwa kuwa nilitarajia nguvu ziishe taratibu with age. Wewe imagine mwanzo nilikuwa napiga goli 6 mfululizo (na mashine hailegei) lakini sasa nikipiga moja tu, mashine inalala doro.....hadi nipumzike takribani saa nzima ndipo nianze show....tena baada ya kuitikisa mashine sana! Yaani hata babu wa miaka 70 nahisi ananizidi pumzi. Inaniuma sana.
Mkuu uache uongo bao sita mfululizo bila kuchomoa dushe au hzo bao sita unapiga unapumzika...atleast uniambie bao tatu mfululizo na sio sita huku kudanganyana
 
Oumofia kwenu?

Ili nisiwachoshe, naingia kwenye mada moja kwa moja. Mimi ni mwanaume mwenye umri wa miaka 36, naishi Dar es Salaam. Siku za hivi karibuni nimepatwa na tatizo la kuishiwa nguvu za kiume ghafla pasipo sababu za msingi. Zamani nilikuwa na uwezo wa kupiga show ya kibabe hadi nafunga goli 6 au zaidi kwa usiku mmoja. Kuna siku nakumbuka nilipiga show na demu wangu mpaka akawa analia na kulalamika kuwa nimemchubua. Nilidhani katia mpira kwapani lakini nilipomchungulia kwa umakini niliona michubuko mingi kunako eneo husika. Kumbuka tangu zamani mimi huwa nacheza show pekupeku.

Sasa kama nilikuwa na uwezo mkubwa kiasi hiki tatizo langu ni nini? Ni hivi: Sasa hivi naweza kukaa mwezi mzima bila kupiga show halafu nikawa niko vizuri tu. Kabla ya hapo nilikuwa zimalizi wiki 2! Baada ya mwezi mmoja kuna wakati ashki zinakuja kidogo na ikiwa sikupata huduma sometimes napata wet dreams za hapa na pale lakini kila nikipata dream, nikijikagua najikuta niko msafi – chombo hakitemi (kama ilivyokuwa zamani). Nime-experience wet dreams mara 2, tena kwenye drems napiga show hadi mwisho, cha ajabu hakuna dalili zozote za ‘kuchafuka’!

Hili ni tatizo, tena tatizo kubwa sana. Waswahili walisema “tatizo lisikie kwa mwenzako” sasa naona majanga yamegeukia kwangu. Siku zote nimekuwa nasikia watu wakilalamika kuishiwa nguvu za kiume, nikawa nadhani ni masikhara. Sasa nimeamini kweli kuna kuishiwa nguvu za kiume. Hali hii imenipa wasisi mkubwa sana na kunisababishia mzongo mkubwa wa mawazo, hasa ukizingatia kwamba idadi ya watoto niliotarajia kuzalisha bado haijatimia. Hivyo, naomba ushauri wenu wakuu. Nifanyeje ili kurudisha nguvu zangu zilizopotea? Naona aibu kwenda kupanga foleni kwa Sangoma katika umri huu. Ni juzi tu mwanaume mmoja aliripotiwa kufariki, wakati akipata tiba kwa mganga ambapo mganga huyo alikuwa akiingiza dawa kupitia kwenye mrija wa uume. Naogopa sana. Ushauri wenu ni muhimu sana wakuu.

Nawasilisha.
Mkuu utakuwa mchezo wetu ule umekuathiri. Hembu pumzika kubet utanipa matokeo[emoji13] [emoji13]
 
Mkuu utakuwa mchezo wetu ule umekuathiri. Hembu pumzika kubet utanipa matokeo[emoji13] [emoji13]

Hahahahaha! Umeona eeh? Ndio maana wiki hii sijajilipua mkuu, nimejipa mapumziko ya kutosha.😀😀😀
 
Hahahahaha! Umeona eeh? Ndio maana wiki hii sijajilipua mkuu, nimejipa mapumziko ya kutosha.😀😀😀
Pumzika kama mwezi mkuu. Huwa inaathiri japo wengine mikeka ikichanika tukipata k ndiyo tunaisugua vizuri kupunguza machungu
 
Mkuu uache uongo bao sita mfululizo bila kuchomoa dushe au hzo bao sita unapiga unapumzika...atleast uniambie bao tatu mfululizo na sio sita huku kudanganyana
Mkuu, hizo bao sita sio za ndani kwa ndani....napiga moja baada ya nyingine, so ikifika asubuhi nikijumlisha napata 6. Umeona eeh? Ni wanaume wachache sana wanaoweza kuunganisha, hasa wa mikoani....sisi wanaume wa Dar hayo mapigo hatuyawezi mkuu.
 
Back
Top Bottom