Msaada: Nimeishiwa nguvu za kiume ghafla!

Msaada: Nimeishiwa nguvu za kiume ghafla!

Mkuu, hizo bao sita sio za ndani kwa ndani....napiga moja baada ya nyingine, so ikifika asubuhi nikijumlisha napata 6. Umeona eeh? Ni wanaume wachache sana wanaoweza kuunganisha, hasa wa mikoani....sisi wanaume wa Dar hayo mapigo hatuyawezi mkuu.
Apo nmekusoma...kama ndo hvyo mm napigaga hadi kumi hzo za kupumzika
 
Pumzika kama mwezi mkuu. Huwa inaathiri japo wengine mikeka ikichanika tukipata k ndiyo tunaisugua vizuri kupunguza machungu
Sawa mkuu.Lakini hata mm ikichanika huwa nahamishia hasira zangu kwenye K ila sasa kikwazo ni hili tatizo la poor performance.
 
Apo nmekusoma...kama ndo hvyo mm napigaga hadi kumi hzo za kupumzika
Heeee! Unapiga 10 mkuu? Naomba unisaidie dawa unayotumia maana mm siku hizi nikipiga kimoja tu mashine inasinyaa mpaka kesho. Nakereka sana.
 
Pia anza kufanya mazoezi uwe fit, mi sio mwanaume ila low performance inakupotezea confidence, usiombe na mkeo siku akwambie jogoo wako hapandi mtungi ndo atakuua kisaikolojia kabisa
Kama vile ulikuwepo mkuu, kuna siku nilikuwa naingiza jogoo anagoma kuingia bahati mbaya mama akachungulia na kuiona imelala, akasema "haingii kwa sababu imelala kumbe!"? Hii kauli iliniuma sana, nilitamani ninywe viagra nimkomeshe.
 
Heeee! Unapiga 10 mkuu? Naomba unisaidie dawa unayotumia maana mm siku hizi nikipiga kimoja tu mashine inasinyaa mpaka kesho. Nakereka sana.
Me nadhan hujaishiwa nguvu za kiume....me mwenyewe zaman nilikuwa nikipiga mabao mengi ndo najihc nko vzur kumbe ni kujitesa....cha msingi na muhimu sio kupiga bao nying bali ni kujifunza kujizuia yaan unaweza pump ndani ya lisaaa lizima bila kukojoa hapo utaifanya mashine izoee kuwa strong/kusimama kwa mda mrefu
 
Wanaume wa Dar mnanifurahisha sana!
kuanzia RC hadi vijana wa kijiweni kilio ni nguvu za kiume!.....mnanenepiana tu hamfanyi mazoezi,walalamishi kwa kila jambo.
Huku mikoani hatuna hayo matatizo ya kishezikishezi kama ya huko DAR
Ndio maana Mh. Rais akifanya ziara MIKOANI anajiachia maana anajua yupo na "WANAUME"sio vilaza wa DAR!
 
Mkuu miaka 36 bado una demu? kutopata usingizi wa kutosha nalo ni tatizo
 
1. acha kunywa pombe ikiwa unakunywa
2. fanya mazoezi ya kukimbia,kuruka kamba,kuogelea na kunyanyua uzito kiasi flan
3. kula chakula kingi chenye protein kama samaki,soya,maziwa,mayai pata ya kuku wa kienyeji,supu ya samaki au nyama na mboga za majani
4. tumia matunda kama parachichi,ndizi ,water melon n.k
5. kula vyakula vyenye nyuzi nyuzi kwa wingi
6. pumzika muda wa kutosha
7. pumzisha akili usiwaze hilo tatizo wazia kuwa tayari umeshapata ufumbuzi yawezekana ni tatizo la kisaokolojia pia.
8. kunywa maji kwa wingi na juice pia
9. acha kuangalia sana video za mikasi
10. acha KUCHEZA POOL nayo si nzuri.
Asante kwa ushauri mujarabu mkuu GuDume . Pamoja sana.
 
UMRI
MAJUKUMU
MAGONJWA
AINA YA VYAKULA
MWENZI ULIYE NAYE
DISAPPOINTMENTS KWENYE MAHUSIANO
SABABU ZA KIROHO
MWILI KUKOSA MAZOEZI
TENDO LENYEWE TU KUBORE
Kuna vitu vingi sana vinaweza kuwa vimesababisha, issue kuwa unakula vyakula vya wanga kwa wingi sidhani kama vinaweza kusaidia as in hivyo huleta nguvu hivyo utakuwa na stamina sio libido!
ambayo kimsingi ni kazi ya akili zaidi kuliko mwili unaoulisha wali ugali makande na mikate ya kumimina!
 
Kama vile ulikuwepo mkuu, kuna siku nilikuwa naingiza jogoo anagoma kuingia bahati mbaya mama akachungulia na kuiona imelala, akasema "haingii kwa sababu imelala kumbe!"? Hii kauli iliniuma sana, nilitamani ninywe viagra nimkomeshe.
Pole sana mkuu hyo hali inaumiza sana kwa mwanaume, maana mwanaume ni machine aisee, mkeo ingetakiwa akusaidie mawazo even hugging au kuchezeana kunachosha kuliko Ku do daily
 
ile lubricant ni kwa ajili ya kulainisha .. umbile la mwanamke linatanuka na kusinyaa. bado haiwezi ikawa sababu ya kuchubua. ni kama elastic sema vijana wanapenda sana kuwachubukua huko ndani ndo wanaona wamepiga sana show... show ya kibabe. na akina dada msikubali kuchubuliwa au kutengenezewa vidonda huko ndani ndo mwanzo wa kupata magonjwa na matatizo ukeni. mapenzi ni raha so kama kunauma mwambie akuandae tena ujisikie raha... kupeana ni kikoa ati... mpe akupe mapenzi.
Siunajua wanaume wengi ni wabakaji they don't care about our papuchi wao ni Ku deshi deshi kimakusudi
 
Badilisha msosi, acha kula wanga SNA, mafuta mengi, na sukari nyingi. Hili in tatizo linalowa fusumbua vijana wa kileo hususan wa daresalam
 
Oumofia kwenu?

Ili nisiwachoshe, naingia kwenye mada moja kwa moja. Mimi ni mwanaume mwenye umri wa miaka 36, naishi Dar es Salaam. Siku za hivi karibuni nimepatwa na tatizo la kuishiwa nguvu za kiume ghafla pasipo sababu za msingi. Zamani nilikuwa na uwezo wa kupiga show ya kibabe hadi nafunga goli 6 au zaidi kwa usiku mmoja. Kuna siku nakumbuka nilipiga show na demu wangu mpaka akawa analia na kulalamika kuwa nimemchubua. Nilidhani katia mpira kwapani lakini nilipomchungulia kwa umakini niliona michubuko mingi kunako eneo husika. Kumbuka tangu zamani mimi huwa nacheza show pekupeku.

Sasa kama nilikuwa na uwezo mkubwa kiasi hiki tatizo langu ni nini? Ni hivi: Sasa hivi naweza kukaa mwezi mzima bila kupiga show halafu nikawa niko vizuri tu. Kabla ya hapo nilikuwa zimalizi wiki 2! Baada ya mwezi mmoja kuna wakati ashki zinakuja kidogo na ikiwa sikupata huduma sometimes napata wet dreams za hapa na pale lakini kila nikipata dream, nikijikagua najikuta niko msafi – chombo hakitemi (kama ilivyokuwa zamani). Nime-experience wet dreams mara 2, tena kwenye drems napiga show hadi mwisho, cha ajabu hakuna dalili zozote za ‘kuchafuka’!

Hili ni tatizo, tena tatizo kubwa sana. Waswahili walisema “tatizo lisikie kwa mwenzako” sasa naona majanga yamegeukia kwangu. Siku zote nimekuwa nasikia watu wakilalamika kuishiwa nguvu za kiume, nikawa nadhani ni masikhara. Sasa nimeamini kweli kuna kuishiwa nguvu za kiume. Hali hii imenipa wasisi mkubwa sana na kunisababishia mzongo mkubwa wa mawazo, hasa ukizingatia kwamba idadi ya watoto niliotarajia kuzalisha bado haijatimia. Hivyo, naomba ushauri wenu wakuu. Nifanyeje ili kurudisha nguvu zangu zilizopotea? Naona aibu kwenda kupanga foleni kwa Sangoma katika umri huu. Ni juzi tu mwanaume mmoja aliripotiwa kufariki, wakati akipata tiba kwa mganga ambapo mganga huyo alikuwa akiingiza dawa kupitia kwenye mrija wa uume. Naogopa sana. Ushauri wenu ni muhimu sana wakuu.

Nawasilisha.
Angalia umri pia una mata,chakula na pombe angalia unywaji wako pia.je una mawazo mengi?
 
Back
Top Bottom