Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ok sasa anza kubadili focus ya mind yako,badili matembezi yako,badili set up ya vitu ndani kwako,kitanda,meza ya chakula,tembea sana,relax muda mwingi,kunywa maji mengi utaona mabadilikoMkuu pombe sinywi na pia sina mawazo mengi kiviiiile....kawaida tu!
Siunajua wanaume wengi ni wabakaji they don't care about our papuchi wao ni Ku deshi deshi kimakusudi
Hahahah utapata tabu sana braza, mie hio hali ilintokea na pengine mbaya zaidi yako nikahisi waswahili wamenifanyia namna maana mtaa naoishi ni nuksi, kuamka na chale mwilini deile kawaida sana.Mkuu hata nikijaribu kuzitoa daily napiga kigoli 1 tu, nikitaka kupiga la pili mpaka nitikise mashine kama babu. Halafu hata nikiwa na wet dreams mbegu hazitoki....jambo ambalo si la kawaida kwa mtu mwenye nguvu zake. Hili ni tatizo kubwa sana.
Loooh!!!!!Embu kajaribu ligi za nje .
Hiyo cardio exercise ndio ipiHahahah utapata tabu sana braza, mie hio hali ilintokea na pengine mbaya zaidi yako nikahisi waswahili wamenifanyia namna maana mtaa naoishi ni nuksi, kuamka na chale mwilini deile kawaida sana.
Ilitokea ghafla tu mzee baba asomi network hata niki minaji angelala uchi kifuani mwangu. Nilipagawa ghafla maana mie ni mtu wa marathon goli huwa ni 30-45 mins naziitaga za mkwezi!
Kutahamaki najikuta siko form kabisa. Niliwahi fasta kucheki presha na sukari nikaja gundua ipo normal. Nikakata soda nikaanza kupiga maji mengi na kutafuna tangawizi pamoja na cardio exercises. Baada ya week 2 nikawa nimerudi form.
Testosterone ndio tatizo na pia ukiwa mwili wako upo inactive mf. hupigi tizi lolote hapo ni shida. Unatakiwa upige tizi, unywe maji mengi na kulala masaa si chini ya 8 ku boost testosterone yako maana huzalishwa usingizini ndio maana ukiamka unakuwa umedisa.
Nimeupenda sana ushauri wako, kuna kitu na mm naitaji unishauri upo tayari?Embu kajaribu ligi za nje .
Hahahah utapata tabu sana braza, mie hio hali ilintokea na pengine mbaya zaidi yako nikahisi waswahili wamenifanyia namna maana mtaa naoishi ni nuksi, kuamka na chale mwilini deile kawaida sana.
Ilitokea ghafla tu mzee baba asomi network hata niki minaji angelala uchi kifuani mwangu. Nilipagawa ghafla maana mie ni mtu wa marathon goli huwa ni 30-45 mins naziitaga za mkwezi!
Kutahamaki najikuta siko form kabisa. Niliwahi fasta kucheki presha na sukari nikaja gundua ipo normal. Nikakata soda nikaanza kupiga maji mengi na kutafuna tangawizi pamoja na cardio exercises. Baada ya week 2 nikawa nimerudi form.
Testosterone ndio tatizo na pia ukiwa mwili wako upo inactive mf. hupigi tizi lolote hapo ni shida. Unatakiwa upige tizi, unywe maji mengi na kulala masaa si chini ya 8 ku boost testosterone yako maana huzalishwa usingizini ndio maana ukiamka unakuwa umedisa.
[emoji15] eeehEmbu kajaribu ligi za nje .
Mkuu izo dk5 hats kabla yakupata shida hiyo ulikua unafanya kwa dk5Asante sana kwa ushauri mujarabu mkuu na pole pia kwa tatizo lililokupata. Ila hizo goli zako za dk 30 - 45 angalia usije ukafia kifuani kwa mtu mkuu. Mm simalizi dakika 5 mkuu. Nawezaje kufika walau dk 10?
Sent from my SM-J110H using JamiiForums mobile app
Ushauri gani 😎Nimeupenda sana ushauri wako, kuna kitu na mm naitaji unishauri upo tayari?
Boss kanda imekula radio. Error connection between you. [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]embu piga gym mkuu nguvu zitarudi tu ina maana hata kubeba ndoo ndogo ya maji huwezi kabisa??
Usilie mkuu mbona swala lako linatibika tu. Subiri waje matabibu
daaah ndugu tpaulOumofia kwenu?
Ili nisiwachoshe, naingia kwenye mada moja kwa moja. Mimi ni mwanaume mwenye umri wa miaka 36, naishi Dar es Salaam. Siku za hivi karibuni nimepatwa na tatizo la kuishiwa nguvu za kiume ghafla pasipo sababu za msingi. Zamani nilikuwa na uwezo wa kupiga show ya kibabe hadi nafunga goli 6 au zaidi kwa usiku mmoja. Kuna siku nakumbuka nilipiga show na demu wangu mpaka akawa analia na kulalamika kuwa nimemchubua. Nilidhani katia mpira kwapani lakini nilipomchungulia kwa umakini niliona michubuko mingi kunako eneo husika. Kumbuka tangu zamani mimi huwa nacheza show pekupeku.
Sasa kama nilikuwa na uwezo mkubwa kiasi hiki tatizo langu ni nini? Ni hivi: Sasa hivi naweza kukaa mwezi mzima bila kupiga show halafu nikawa niko vizuri tu. Kabla ya hapo nilikuwa zimalizi wiki 2! Baada ya mwezi mmoja kuna wakati ashki zinakuja kidogo na ikiwa sikupata huduma sometimes napata wet dreams za hapa na pale lakini kila nikipata dream, nikijikagua najikuta niko msafi – chombo hakitemi (kama ilivyokuwa zamani). Nime-experience wet dreams mara 2, tena kwenye drems napiga show hadi mwisho, cha ajabu hakuna dalili zozote za ‘kuchafuka’!
Hili ni tatizo, tena tatizo kubwa sana. Waswahili walisema “tatizo lisikie kwa mwenzako” sasa naona majanga yamegeukia kwangu. Siku zote nimekuwa nasikia watu wakilalamika kuishiwa nguvu za kiume, nikawa nadhani ni masikhara. Sasa nimeamini kweli kuna kuishiwa nguvu za kiume. Hali hii imenipa wasisi mkubwa sana na kunisababishia mzongo mkubwa wa mawazo, hasa ukizingatia kwamba idadi ya watoto niliotarajia kuzalisha bado haijatimia. Hivyo, naomba ushauri wenu wakuu. Nifanyeje ili kurudisha nguvu zangu zilizopotea? Naona aibu kwenda kupanga foleni kwa Sangoma katika umri huu. Ni juzi tu mwanaume mmoja aliripotiwa kufariki, wakati akipata tiba kwa mganga ambapo mganga huyo alikuwa akiingiza dawa kupitia kwenye mrija wa uume. Naogopa sana. Ushauri wenu ni muhimu sana wakuu.
Nawasilisha.
Mazoezi kama yepi mkuu yatamsaidiadaaah ndugu tpaul
Kwa kweli miaka 36 kuwa na tatizo kama lako ni majanga, mimi lilinitokea angalau kuanzia 45.
Turudi kwenye tatizo lako specifically kama wengi walivyosema una tatizo la hormone kuzalishwa kiasi cha kutosha, lakini ningependa niongeze pia tatizo jingine ni mwili kwa ujumla kutokuwa katika hali ya kawaida. kwa mfano una tatizo la kupanda na kushuka kwa pressure, sukari na kufa kwa seli zako za uhai zinakufa kwa kasi mno kuliko zinazozalishwa. Kwa hiyo, ili tatizo lako liishe na uwe fiti pamoja na mazoezi na vyakula, nakushauri utumie Stem Cell itakusaidia sana sana.
Tulia mdogo wangu wala usiwe na msongo wa mawazo tatizo lako litaisha tu na kuwa historia kabisa katika maisha yako.
Nawasilisha.
Mazoezi ya mwili kwa ujumla tu ili mwili uwe fiti katika hali ya kawaida.Mazoezi kama yepi mkuu yatamsaidia