Msaada: Nimeishiwa nguvu za kiume ghafla!

Msaada: Nimeishiwa nguvu za kiume ghafla!

Nilikuwa nafanya kwa wastani wa dakika 5 kwa kila bao ila nilikuwa naweza kupiga bao nyingi (5 -7 per night) na mashine ilikuwa imara tofauti na sasa ambapo nikipiga goli moja mashine inaweza kulala dolo hata kwa zaidi ya nusu saa na pengine hata nisipate ashki tena ya kupiga paper II hadi kesho.
Kwani hill goli moja ulapoiga sasa hivi ukiamka asubuhi VP unakua umedisa au ndo inakua doro imelala
 
Asante kwa taarifa hii muhimu mkuu. Stem cell inauzwa kwenye maduka ya dawa au ntaipataje Chief?
ok kwenye maduka hakuna, ila ukihitaji nitakuelekeza mahali pa kuipata tu
 
Asante sana kwa ushauri mujarabu mkuu na pole pia kwa tatizo lililokupata. Ila hizo goli zako za dk 30 - 45 angalia usije ukafia kifuani kwa mtu. Mm simalizi dakika 5! Nawezaje kufika walau dk 10?
Na ndio maana unafikisha goli 6 kijogoo kitu ambayo mie naona maajabusana. Hapa tatu za mkwezi asiporidhika huyo bibie ujue kakubuhu.
 
Tpaul na mwingine yeyote anayetaka kujua zaidi, kupata na kutumia stem cell, anaweza kuwasiliana nami ili akutane na medical doctor kwa ushauri kwanza ili aweze kutumia kitu anachokijua. Most welcome.
 
Pole kwa tatzo maana_jamvi mwenzetu ila unabidi uende hospital na kuwaona wataalamu wa masuala hayo nadhani watakusaidia na kukufanyia counselling ya kutosha
 
Oumofia kwenu?

Ili nisiwachoshe, naingia kwenye mada moja kwa moja. Mimi ni mwanaume mwenye umri wa miaka 36, naishi Dar es Salaam. Siku za hivi karibuni nimepatwa na tatizo la kuishiwa nguvu za kiume ghafla pasipo sababu za msingi. Zamani nilikuwa na uwezo wa kupiga show ya kibabe hadi nafunga goli 6 au zaidi kwa usiku mmoja. Kuna siku nakumbuka nilipiga show na demu wangu mpaka akawa analia na kulalamika kuwa nimemchubua. Nilidhani katia mpira kwapani lakini nilipomchungulia kwa umakini niliona michubuko mingi kunako eneo husika. Kumbuka tangu zamani mimi huwa nacheza show pekupeku.

Sasa kama nilikuwa na uwezo mkubwa kiasi hiki tatizo langu ni nini? Ni hivi: Sasa hivi naweza kukaa mwezi mzima bila kupiga show halafu nikawa niko vizuri tu. Kabla ya hapo nilikuwa zimalizi wiki 2! Baada ya mwezi mmoja kuna wakati ashki zinakuja kidogo na ikiwa sikupata huduma sometimes napata wet dreams za hapa na pale lakini kila nikipata dream, nikijikagua najikuta niko msafi – chombo hakitemi (kama ilivyokuwa zamani). Nime-experience wet dreams mara 2, tena kwenye drems napiga show hadi mwisho, cha ajabu hakuna dalili zozote za ‘kuchafuka’!

Hili ni tatizo, tena tatizo kubwa sana. Waswahili walisema “tatizo lisikie kwa mwenzako” sasa naona majanga yamegeukia kwangu. Siku zote nimekuwa nasikia watu wakilalamika kuishiwa nguvu za kiume, nikawa nadhani ni masikhara. Sasa nimeamini kweli kuna kuishiwa nguvu za kiume. Hali hii imenipa wasisi mkubwa sana na kunisababishia mzongo mkubwa wa mawazo, hasa ukizingatia kwamba idadi ya watoto niliotarajia kuzalisha bado haijatimia. Hivyo, naomba ushauri wenu wakuu. Nifanyeje ili kurudisha nguvu zangu zilizopotea? Naona aibu kwenda kupanga foleni kwa Sangoma katika umri huu. Ni juzi tu mwanaume mmoja aliripotiwa kufariki, wakati akipata tiba kwa mganga ambapo mganga huyo alikuwa akiingiza dawa kupitia kwenye mrija wa uume. Naogopa sana. Ushauri wenu ni muhimu sana wakuu.

Nawasilisha.
Vp mkuu tayar umeanza kutafuta tiba
 
Kama yepi hayo nielekeze nami nianze
Natumia mchanganyiko wa tangawizi, kitunguu swaumu, mbegu za maboga, habat souda na asali asubuhi na jioni kama nilivyoshauriwa na mkuu Papupi . Pia nakunywa maji ya kutosha pamoja na kufanya mazoezi.
 
Pole sana Mkuu !! Mimi Najua ni Suala la Kisaikolojia zaidi Na sio Nguvu kuisha!! Tumia Muda mwingi kuongea na Mwenzi wako .... Na Mazoezi kwa sana Ili kuweka Mwili Fit

Sent from my Nokia 2 using JamiiForums mobile app
 
Natumia mchanganyiko wa tangawizi, kitunguu swaumu, mbegu za maboga, habat souda na asali asubuhi na jioni kama nilivyoshauriwa na mkuu Papupi . Pia nakunywa maji ya kutosha pamoja na kufanya mazoezi.
Vp mkuu unaendeleaje sasa
 
Natumia mchanganyiko wa tangawizi, kitunguu swaumu, mbegu za maboga, habat souda na asali asubuhi na jioni kama nilivyoshauriwa na mkuu Papupi . Pia nakunywa maji ya kutosha pamoja na kufanya mazoezi.
Mkuu vp nguvu zimeanza kurudia au
 
Asante kwa ushauri mkuu. Kubeba vitu naweza ila nguvu za kiume zimeniishia kwa kiwango cha ajabu sana. Vipi nikibadili diet haiwezi kusaidia? Maana nimekuwa nikila wanga kwa wingi lakini bado tatizo lipo.
vipi uliwezaje kumaliza tatizo?
 
Vp mkuu unaendeleaje sasa
Ndugu mkuu na wakuu wengine, nilitumia dawa za hospitali mara nyingi sana lakini sikupata nafuu yoyote. Kuna jamaa mmoja anauza dawa za asili anaitwa Makoba Charles (yupo facebook) alinisaidia dawa ya virutubisho nguvu zangu za kiume zimerudi kama kawaida tena kwa kasi kuliko zamani. Nashauri mtu mwenye shida yoyote ya nguvu za kiume amcheki atakufikishia dawa popote ulipo. Asante.
 
Back
Top Bottom