Mdakuzi
JF-Expert Member
- Apr 6, 2012
- 4,294
- 6,872
Haifai kumkatisha mtu tamaa, ila busara sana kumwambia ukweli mtu mapema. Jipange tu namna ya kuishi nazo, hakuna namna zitageuka kurudi tena kuwa hela.Ilikuwa ni siku ya jana majira ya Jioni, nikiwa nyumbani niliona bidhaa mtandaoni na nikaipenda nikaamua kuwasiliana na waliokuwa wameitangaza katika mtandao wa Instagram. Nilifanikiwa kuwasiliana nao na nikaomba wanifanyie Delivery hadi nyumbani.
Sasa wakati boda wa Delivery amefika nyumbani, nikawa nataka kufanya malipo yake kwa sababu sikuwa na Cash na nilikuwa na pesa kwenye Bank nikaamua kuhamisha Pesa kutoka Bank kuja kwenye simu ili niweze kulipa kupitia LIPA NAMBA yao na hapo ndipo nilipokuja kukosea badala ya kutuma pesa nikanunua muda wa maongezi wa Tshs 100,000/= 🥴. Pale Pale biashara iliishia pale na nikaanza kutafta namna ya kurudisha pesa imeshindikana hadi sasa
Hivyo naomba msaada kwenu wataalamu nifanye nini? au kama kuna mtu ambaye anahusika nw kutoa huduma za kurusha vifurushi naomba tuwasiliane tufanye biashara nipo tayari ata niingie hasara ya kiasi fulani.
Au mwenye msaada wowote naomba anisaidie 🥴🙏🏽
Huo upuuzi niliwahi kuufanya, tena ilikuwa ni hela nyingi zaidi ya hizo na niliishia kutumia na kugawa tu muda wa maongezi hadi ukaisha.
Ova