Mafikizolo
JF-Expert Member
- May 8, 2014
- 3,487
- 1,625
AsanteKuharisha kawaida hiyo, inasafisha Tumbo
AsanteKunywa mafuta ya nyonyo robo kikombe na upande wa papai litaacha kuuma
Eeee,tumbo linasafishikaNikiharisha ndoinakuwa inafanya kaz au?
Muwasho mwiliniKwani umekunywa ili ujitibu ugonjwa gani? Uwe wazi ili tukusaidie njia nzuri za kutumia mmea huo.
Hiyo ni hali ya kawaida sana ktk matumizi ya Aloe vera na kama tumbo linakuuma basi fahamu kuwa hata ktk tumbo ulikuwa na matatizo fulani,ukiona umeharisha basi tambua kuwa imefanya kazi fulani ktk mwili wako we endelea kunywa japo ufikishe siku 3 naamini utajisikia vizuri zaidi.Muwasho mwilini
Asante myHiyo ni hali ya kawaida sana ktk matumizi ya Aloe vera na kama tumbo linakuuma basi fahamu kuwa hata ktk tumbo ulikuwa na matatizo fulani,ukiona umeharisha basi tambua kuwa imefanya kazi fulani ktk mwili wako we endelea kunywa japo ufikishe siku 3 naamini utajisikia vizuri zaidi.
Aliyetaka kutoa mimba nan kwa mfano?mkiwa mnataka kutoa mimba hata kulamba kinyesi cha mtu hamuoni shida shenz kabisa