Msaada: Nimekuta video na picha zangu kwenye mitandao ya ngono

Msaada: Nimekuta video na picha zangu kwenye mitandao ya ngono

NDYO SHIDA YA KWENDA GUEST HOUSE BUBU... WASHTAKI MKUU NA WATAKULIPA MABILION YATAKAYOFILISI MALI ZAO NA ZA NDUGU ZAO
 
Kwani hiyo video haionyeshi mchukua picha alikuwa anarekodi kutokea angle gani?.Ndo utatambua ni nani aliyerokodi hiyo muvi ya vita vya tatu vya dunia huenda akawa mwenzi wako mliyekuwa nae.
Mwisho unapochukua chumba kwenye hizi hoteli kama ni usiku kumbuka kuzima taa zote kuwe giza kisha chukua smartphone yako weka pale kwenye kamera uwe kama unataka kupiga picha zungusha chumba kizima hasa kwenye upande wa cellingboard endapo utaona kidot chekundu kupitia kwenye simu yako hama hicho chumba kitakuwa kina hidden camera.
 
It's hilarious how people can do things yaani..if I may ask..What was that research for? I am curious!!
Nilikua naangalia hawa watu kama wako vizuri kiakili (by observation) na kuangalia nani ana infruence kitendo cha kurekodi? Ni wote au ni mmoja?
Kama ni mmoja inakuaje na yule wa pili ha react kukataa kitendo cha kurekodiwa..

Nilijitahidi kuwatafuta kwenye maisha ya kawaida wana hali gani baada ya video zao ku leak lakini niliwakosa kwa sababu za kiuchumi..

Pia kwa research yangu hii nimegundua ni couple nyingi sana zinajirekodi lakini bado video zao hazija leak..
 
Kwani hiyo video haionyeshi mchukua picha alikuwa anarekodi kutokea angle gani?.Ndo utatambua ni nani aliyerokodi hiyo muvi ya vita vya tatu vya dunia huenda akawa mwenzi wako mliyekuwa nae.
Mwisho unapochukua chumba kwenye hizi hoteli kama ni usiku kumbuka kuzima taa zote kuwe giza kisha chukua smartphone yako weka pale kwenye kamera uwe kama unataka kupiga picha zungusha chumba kizima hasa kwenye upande wa cellingboard endapo utaona kidot chekundu kupitia kwenye simu yako hama hicho chumba kitakuwa kina hidden camera.
Aiseee umenipa bonge la idea wakati nikijiandaa kwenda kwenye mechi ya mchangani
 
Habari wakuu,

Mimi na mchumba wangu tumekuwa na mahusiano toka first year mpk leo mwaka wa tatu huu. Kwa kuwa tunaishi hostel, tumekuwa tukifanyia mapenzi yetu gesti fulani hivi kwa muda wote huu.

Sasa cha kushangaza, jana rafki zangu wakaniambia wanaona video zangu kibao kwenye sites za ngono nikimgegeda mpenzi wangu. Sikuamini, nilivyo-google na kujiona yaani nililia sana.

Hapa class zima wanajua. Nadhani itafahamika chuo chote. Sasa sijui ile guest kuna kamera au yaani ni aibuuuuuu.

Nifanyaje???
unalia nini wakat nikweli sasa
 
Back
Top Bottom