Msaada nimekuwa msahaulifu sana

Jaribu kua unardia ridia kila mara pia jitahid kula samaki, maboga na matikiti maji
Hapo mkuu naweza nikaafikiana na wewe ila na mimi hilo tatizo linanisumbua san yaan sekunde mbili nishasahau mkuu msaada unahitajika hapa.
duh mbona wengine tumepiga sana punyeto na paper tumetusua div 1 kali na chuo tumetoboa gpa za maana.
hapana acheni kusingizia punyeto huyo atakuwa na matatzo ya ubungo wake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…