Beberu-mpya
JF-Expert Member
- Feb 14, 2017
- 216
- 106
Nimekuwa kimya sana week iliyopita nilikuwa nimesafiri kidogo kwenda Mbeya kama kawaida ya Beberu-mpya nikamuona mtoto huyu ambae amenisabashia hii kitu, sasa jana ndo nimeona hali hii, nifanyaje?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ni kweli mkuu na kwa faida yako tu ni kwamba ukipata gono 50% unaweza kuwa umepata ukimwi.Usisahau kupima ule ugonjwa mwingine mkuu.
Nimeangalia picha hata sijaelewa, hebu niambie ni nini hicho?Nenda hospitalini wewe na usirudie kula kavu tena ,ulifikiri ni mkeo huyo? Pole sana
kichwa cha dushelele,,,,,,,,,,,,,,,,,,,Nimeangalia picha hata sijaelewa, hebu niambie ni nini hicho?
Mbona kama kina malengelenge, mweeee! jamanikichwa cha dushelele,,,,,,,,,,,,,,,,,,,
Kidudu cha mwanaume kimepata ugonjwa.Nimeangalia picha hata sijaelewa, hebu niambie ni nini hicho?
Aisee yani kimekuwa kama bulbKidudu cha mwanaume kimepata ugonjwa.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Aisee yani kimekuwa kama bulb