Mamba_Mtoni
JF-Expert Member
- Feb 18, 2023
- 420
- 766
Hii ni baada ya mahakama
Kutupilia mbali mapingamizi yaliyowekwa
Na dada zangu wawili na waume zao(mashemeji)
Sijui nani aliwadanganya kumbe baba aliniandika
Kusimamia Mali zake kwenye wosia
Kuhusu mgawanyo wa Mali za urithi
Na hatimaye mahakama kunipa umiliki wa urithi 100%
(Mashamba 2, nyumba 3, magari 4, cash bank 356mil)
Kutupilia mbali mapingamizi yaliyowekwa
Na dada zangu wawili na waume zao(mashemeji)
Sijui nani aliwadanganya kumbe baba aliniandika
Kusimamia Mali zake kwenye wosia
Kuhusu mgawanyo wa Mali za urithi
Na hatimaye mahakama kunipa umiliki wa urithi 100%
(Mashamba 2, nyumba 3, magari 4, cash bank 356mil)