Msaada: Nimeongezeka uzito kwa kasi ya ajabu; Kilogramu 9 ndani ya wiki 2 (72-81)

Msaada: Nimeongezeka uzito kwa kasi ya ajabu; Kilogramu 9 ndani ya wiki 2 (72-81)

Mamba_Mtoni

JF-Expert Member
Joined
Feb 18, 2023
Posts
420
Reaction score
766
Hii ni baada ya mahakama
Kutupilia mbali mapingamizi yaliyowekwa
Na dada zangu wawili na waume zao(mashemeji)
Sijui nani aliwadanganya kumbe baba aliniandika
Kusimamia Mali zake kwenye wosia
Kuhusu mgawanyo wa Mali za urithi
Na hatimaye mahakama kunipa umiliki wa urithi 100%
(Mashamba 2, nyumba 3, magari 4, cash bank 356mil)
 
Mali bila daftari huisha bila habari.

Usiwe mlevi wa Pombe na Wanawake.

Jiepushe kula kula au kunywa kunywa ovyoovyo mitaani (yaan Hakikisha unakwepa mazingira ya kupewa SUMU).

Muombe Mungu.

Usikurupuke kufanya mambo makubwa Sijui biashara n k. Achana na ushauri wa jamaa Sijui Leta Hela tuwekeze Mahali Fulani, maana nao wanajua unahela, Sasa wanaitafuta MBINU za kupiga.

Relax, Kuna watu wanakufa kwasababu Furaha imewazidi.

Mengine watakuongezea wakulungwaa
 
Mali bila daftari huisha bila habari.

Usiwe mlevi wa Pombe na Wanawake.

Jiepushe kula kula au kunywa kunywa ovyoovyo mitaani ( yaan Hakikisha unakwepa mazingira ya kupewa SUMU).


Muombe Mungu .

Usikurupuke kufanya mambo makubwa Sijui biashara n k... Achana na ushauri wa jamaa Sijui Leta Hela tuwekeze Mahali Fulani ...maana nao wanajua unahela, Sasa wanaitafuta MBINU za kupiga .


Relax, Kuna watu wanakufa kwasababu Furaha imewazidi.



Mengine watakuongezea wakulasa
 
Back
Top Bottom