Msaada: Nimepata changamoto ya Kupata Mkopo kutoka Benki ya NMB

Msaada: Nimepata changamoto ya Kupata Mkopo kutoka Benki ya NMB

kinda la baba

Senior Member
Joined
Jun 13, 2024
Posts
117
Reaction score
125
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu, kwanza mimi sio muandishi mzuri, mtanisamehe kwa uandishi wangu. Tatizo lipo mwezi uliopita nilichukua mkopo kwenye Benki ya NMB kutokana na matatizo niliokuwa nayo. Baada ya mwezi mmoja, nikarudisha deni lote. Baada ya hapo, nilitaka kuchukua mkopo mwingine, lakini mara hii nikaambiwa siwezi kupewa mkopo sababu nina madeni taasisi nyingine. NMB hawawezi kunipa mkopo hadi nimalizane na hiyo taasisi.

Madeni yao binafsi sikuwahi kuchukua mkopo sehemu yoyote au taasisi yoyote. Hii imenifanya niwe na mshangao sana. Hiyo taasisi inaitwa CREDINFO CHRONICLE. Wakuu, hii taasisi inajihusisha na nini? Napata changamoto za kupata mkopo kutokana na hii taasisi.
 
Kama ulikopa mkopo mtandaoni mf mpawa, branch na zingine nyingi halafu hujalipa wanakuweka kuwa mdeni sugu mpaka uwalipe ndio hivyo hiyo uliyoandika hata mimi mpawa sikuwalipa kitambo nikatumiwa hiyo kitu
 
Fanya hivi huyo afisa loan akifungua uwanja wa ukopeshaji kuna email zao unawasiliana easy sana mi nilifuata mkopo CRDB wakaniambia hivyo mkopo niliokuwa nataka 3000000 wakaniambia nadaiwa na MAICROCREDIT INFOR SH 15000 WAKATI HUO NISHAJAZA MKOPO KATIKA MFUMO NIKAWAMBIA BASI SIHITAJI NASHANGAA WAKANIWEKEA WENYEW
 
Kama ulikopa mkopo mtandaoni mf mpawa, branch na zingine nyingi halafu hujalipa wanakuweka kuwa mdeni sugu mpaka uwalipe ndio hivyo hiyo uliyoandika hata mimi mpawa sikuwalipa kitambo nikatumiwa hiyo kitu
Ulisolve vipi hii inshu mi sikuwahi kuwakopa hawa
 
Fanya hivi huyo afisa loan akifungua uwanja wa ukopeshaji kuna email zao unawasiliana easy sana mi nilifuata mkopo CRDB wakaniambia hivyo mkopo niliokuwa nataka 3000000 wakaniambia nadaiwa na MAICROCREDIT INFOR SH 15000 WAKATI HUO NISHAJAZA MKOPO KATIKA MFUMO NIKAWAMBIA BASI SIHITAJI NASHANGAA WAKANIWEKEA WENYEW
SAWA
 
Back
Top Bottom