Msaada: Nimepata dharura nahitaji Mkopo wa milion mbili, nitarudisha baada ya mwezi mmoja kwa riba ya 20%

Msaada: Nimepata dharura nahitaji Mkopo wa milion mbili, nitarudisha baada ya mwezi mmoja kwa riba ya 20%

waTz kwenye swala la huruma limewakalia kushoto sana

Kaka ngoja nikueleze Mimi Sina hiyo pesa, Ila pia watanzania wengi wazushi tu, angalia hapo maswali yalivyokuwa mengi pasipo kujitokeza hata mtu mmoja ambaye anaweza kukupa hiyo pesa.



Mtanzania yupo lazi amnyime nduguye atumie pesa hiyohiyo akalie Bata
watz tuwe waungwana
WEWE NI MKONGOMANI SIYO MBONA UCMPE HIYO HELA
 
Back
Top Bottom