waTz kwenye swala la huruma limewakalia kushoto sana
Kaka ngoja nikueleze Mimi Sina hiyo pesa, Ila pia watanzania wengi wazushi tu, angalia hapo maswali yalivyokuwa mengi pasipo kujitokeza hata mtu mmoja ambaye anaweza kukupa hiyo pesa.
Mtanzania yupo lazi amnyime nduguye atumie pesa hiyohiyo akalie Bata
watz tuwe waungwana