MSAADA: Nimepata mgonjwa wa ajabu nyumbani

MSAADA: Nimepata mgonjwa wa ajabu nyumbani

Ambacho sijaelewa ni kwamba huyu jamaa ameacha familia yake akaja kukaa kwako au? Na je, huo ugonjwa uliosema ndio hiyo kunywa pombe au ana ugonjwa mwingine?

Ushauri: Hizo grand malta zitamletea madhara makubwa zaidi kuliko hiyo pombe aliyoiacha.
 
Pole mkuu kama inshu ni kutaka kuacha pombe kuna dawa ya kienyeji anayo mama mmoja yupo pale mwanza akinywa tu kwisha habari lkn kikubwa awe tayari kuacha kwa hiali yake ,watu kbao nnao wajua akiwemo Baba yangu wameacha mpaka leo kama yupo tayari kaz kwake sasa

Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
Utapeli Bado upo
 
Wewe utakuwa mwalimu wao bila shaka wap umeona kaambiwa atume hela au wap umeona namba ya smu hapo

Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
Acheni utapeli nyie watu. Mkiona mtu ana shida ndiyo mnaona pakutokea badala ya kumsaidia. Uliona wapi dawa ya kutibu ulevi au maombi ni dawa toka lini. Acheni utapeli wenu
 
Acheni utapeli nyie watu. Mkiona mtu ana shida ndiyo mnaona pakutokea badala ya kumsaidia. Uliona wapi dawa ya kutibu ulevi au maombi ni dawa toka lini. Acheni utapeli wenu
Asiyejua maana haambiwi maana kariri hivyohvyo mkuu

Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
 
Kuna mama mja akikuombea utaacha kunywa anaitwa Theresia anapatikana kipunguni B wanapaita kwa matembo,niliendaga hapo mpaka sasa hivi Nina maisha yangu ,lakini mwanzo nilikuwa addicted
 
Kuna mama mja akikuombea utaacha kunywa anaitwa Theresia anapatikana kipunguni B wanapaita kwa matembo,niliendaga hapo mpaka sasa hivi Nina maisha yangu ,lakini mwanzo nilikuwa addicted
Uliona wapi maombi yakawa dawa. Acheni utapeli. Mnadanganya watu kuwaombea kumbe mnazidi kuwapoteza na kuwafilisi
 
Duniani kuna magonjwa mengi mengine ni psychological made. Anyway, mimi nmepokea mgeni ambaye amekuja likizo maalum. Jamaa yangu wa kitambo sana.

Ilikuja tu tokea akawa amemaliza chuo kaajiriwa sehemu akafundishwa kunywa pombe...akaja kuwa komba. Wamehangaika naye sana. Mpaka mke amechoka naye..kutumia 500,000 hadi 1,000,000 kwa mwezi ni kawaida sana kwake.

Sababu pia akinywa ananunulia sana na hao anaita washkaji. Sasa amekuja home apumzike nami nimsaidie aache pombe. Nimemwanzishia matumizi ya Grand Malt...amependa kwa siku anakata hadi vikopo vitano. Ya baridi sana.

Sasa naomba msaasa wenu. Mtu anayefanya kazi sehemu wanapotengeneza hizi.anisaidie kama watanishushia bei nije chukua cartons kadhaa. Maana vinaenda sana. Nahitaji sehemu ambayo watashusha bei zaidi ya inayouzwa maduka ya jumla..ninunue cartons nyingi. Jamaa ana week ya tatu hajanywa pombe. Na afya yake imerejea vizuri.macho yamekuwa vizuri maana yalikuwa mekundu almost everytime.

Natanguliza shukrani.
Wewe hapo urafiki kwa kasikana hamna grand malt za bei ya chini?
 
Hauko seriou mkuu grand 5 kwa siku alfu unaona sawaa huyo jamaa achwe maisha aliyoyachagua ni yake hyo
 
The best ways to improve himself are by application of either psychology or religion, perhaps by both of them.
 
Acheni utapeli nyie watu. Mkiona mtu ana shida ndiyo mnaona pakutokea badala ya kumsaidia. Uliona wapi dawa ya kutibu ulevi au maombi ni dawa toka lini. Acheni utapeli wenu
Dawa zipo mkuu usibishe
 
Back
Top Bottom