Larusai Mux
JF-Expert Member
- Oct 24, 2012
- 979
- 277
Asalaam wakuu,,
niko tabora vijijini ni mwalimu nina mizka miwili kazini.
Nimepata nafasi ya kusoma digrii ya ualimu,nmepata pia mkopo,ila kigezo kikubwa cha kupata ruhusa toka kwa mwajiri ni lazima uwe umetimiza angalau miaka mitatu!..,,nawaza nitaombaje ruhusa?,je nikinyimwa?,
ushauri wakuu
niko tabora vijijini ni mwalimu nina mizka miwili kazini.
Nimepata nafasi ya kusoma digrii ya ualimu,nmepata pia mkopo,ila kigezo kikubwa cha kupata ruhusa toka kwa mwajiri ni lazima uwe umetimiza angalau miaka mitatu!..,,nawaza nitaombaje ruhusa?,je nikinyimwa?,
ushauri wakuu