Msaada: Nimepata nafasi ya kusoma, ila ruhusa ni tatizo

Msaada: Nimepata nafasi ya kusoma, ila ruhusa ni tatizo

Mkuu Wewe si umesema mkopo Wa chuo umepata? Sasa huo Wa NMB Wa nini tena? Maana kama kazi watakufuta utaendelea kupata huo Wa HESLB!

mkuu hapa ni ili niende nao sawa maana wanaweza futa ajira yangu na chuon mambo yakawa magumu kwangu,,bum halitoshag pia huchelewa
 
bibie perry jitahidi kuheshimu wa2 na kujiheshim pia...ualimu sio kaz ya kutetemekea!!!acha kudharau kazi za wa2
 
ndugu karipoti chuo na ujisajili..process mkopo
.then omba kuahirisha mwaka wa masomo...then rudi kazini andika barua ukiindicate kabisa kuwa mwakani unataka kwenda kusoma
 
ndugu karipoti chuo na ujisajili..process mkopo
.then omba kuahirisha mwaka wa masomo...then rudi kazini andika barua ukiindicate kabisa kuwa mwakani unataka kwenda kusoma
nikiahirisha,,je mwakan nitapata?,,,sasa ivi nmepata bum 100% mkuu,,,huu ni mtihani kwangu
 
Nenda kasome wewe, hiyo bahati huwez kuipata tena, ukimaliza chuo akikataa kukuchukua serikali inatoa ajira mkimaliza chuo, sema wanakupanga sehem yoyote ile Tanzania
 
nikiahirisha,,je mwakan nitapata?,,,sasa ivi nmepata bum 100% mkuu,,,huu ni mtihani kwangu

Ndugu yangu kwa kuwa upo kwenye payrol tayari na una check namba. Ukiondoka kienyeji hao watakufungia mshahara and later on utafungiwa ajira kabisa...UBAYA WA HII...ITAKUFANYA USIWEZE KUAJIRIWA TENA SERIKALINI KWA NYANJA YOYOTE ILE... sasa kama wewe unaenda somea education ukimaliza ajira utapata taasisi binafsi tu... ATLEAST UNGEOMBA KUSOMEA FANI NYINGINE...
**SASA CHA KUFANYA SASA.. HEBU FUATILIA/ULIZIA UTARATIBU WA KUGHAIRISHA MWAKA WA MASOMO KAMA UTAATHIRI FLOW YA MKOPO (ulizia kwa watu waliowahi kughairisha mwaka.. na ukienda kuripoti chuo pia uulizie..) ingawa sidhani kama utakosa mkopo..hebu assume mtu kama wewe unaeripoti ukawa unaumwa ghafla tena very serious hii itakufanya wakunyime kabisa na walishakupeaga hadi asilimia
 
Back
Top Bottom