Mgazini
JF-Expert Member
- Jan 31, 2013
- 293
- 39
Nenda ubungo plazza kaulize FCC,fair competition commission,ina fanya kazi na ku mtetea mraji,mi niliuziwa flash feki mwaka 2012,nilienda tbs,tbs wakaniambia niende hapo,nilipoenda wakanipa barua niwapeleke walioniuzia flash fake ikisema wanipe hela au wanibadilishie,wakanikatalia kurudisha hela hata kubadilisha,nikaenda kutoa taarifa tena,ndipo nikaondoka nao kutumia gali lao hadi kariaokoo,kufika pale wakaawaambia either wanipe hela yangu au watoe faini milioni mbili,wale jamaa wakaamua kunirudishia hela yangu yote.
kama upo serious fanya hivyo,wewe nenda pale ubungo plaza kaulizie ofisi za fair competiton,watakusaidia,walikuwa hawanijui,wala siwajui,ila walinisaidia kupata haki yangu.
kama upo serious fanya hivyo,wewe nenda pale ubungo plaza kaulizie ofisi za fair competiton,watakusaidia,walikuwa hawanijui,wala siwajui,ila walinisaidia kupata haki yangu.