Poor Brain
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 19,644
- 40,546
- Thread starter
-
- #241
ππππππππππππππππKumfananisha mshamba_hachekwi na Poor Brain ni Haram.
Maana mshamba_hachekwi yuko kwenye thinking level nyingine,sio hicho kipande Cha safinaππ
Hoist the Colourspoor brain amefall off
sio yule jamaa mwenye heshima zake ambaye unaweza hata kumuita dingi
yuko bize siku hizi kawa clout chaser.poor brain amefall off
sio yule jamaa mwenye heshima zake ambaye unaweza hata kumuita dingi
Kaka unatisha watu kakaKaka ulitoa ushauli mzr sana
ni kumuacha tu aendelee na mambo yake.yuko bize siku hizi kawa clout chaser.
I just keep wondering what happened to his morals and ethics
Sasa huyo doctor wako aliekwambia ukimeze, hiyo kongosho inawekwa kupitia process ya mmeng'enyo wa chakula? Kama ingekuwa rahis hivyo oparation za Indiza za kaz gani kupandikiza figo... si tungekuwa tukifeli figo unaomba ndugu yangu anakutapikia figo moja kisha unaimeza au unamchinja ngurue kisha unameza figo yakeHapa nawaza nikile tena au nikiache maana nahisi kama kulogwa hivi
Aisee promoter ningefeli sana halafu nilitaka kuanzisha hiyo battle asbh ratiba zikawa tight, nimerudi jioni mtandaoni nikawakuta wote Watatu mpo kwenye uzi huu.Kumfananisha mshamba_hachekwi na Poor Brain ni Haram.
Maana mshamba_hachekwi yuko kwenye thinking level nyingine,sio hicho kipande Cha safinaππ
meza kwanza hilo ini lirudi mahala pake, ndiyo uanzishe ugomviπWewe unaanza kunichokoza sasa...
Alaf mimi ugomvi wangu hapa hakuna wa kuzuia an
Dr amekuficha maana angekwambia ukweli usikute wakati huu ungekuwa unasema Sema peka yakoAnasema ilikua katika tumbo
Asituchoshe yaani huyu ni poor poor poor Poor Brain π€£π€£π€£meza kwanza hilo ini lirudi mahala pake, ndiyo uanzishe ugomviπ
Na wewe manyanza uwe unalala..Asituchoshe yaani huyu ni poor poor poor Poor Brain π€£π€£π€£