Msaada: Nimetapika hiki kidude

Msaada: Nimetapika hiki kidude

Hapa nawaza nikile tena au nikiache maana nahisi kama kulogwa hivi
Sasa huyo doctor wako aliekwambia ukimeze, hiyo kongosho inawekwa kupitia process ya mmeng'enyo wa chakula? Kama ingekuwa rahis hivyo oparation za Indiza za kaz gani kupandikiza figo... si tungekuwa tukifeli figo unaomba ndugu yangu anakutapikia figo moja kisha unaimeza au unamchinja ngurue kisha unameza figo yake
 
Asituchoshe yaani huyu ni poor poor poor Poor Brain 🀣🀣🀣
Na wewe manyanza uwe unalala..
Hivi nyie watu hata hatujui mnakula sa ngapi.
Mana lala sa ngapi an mda wote mpo active....

Mnaanza kututisha wenzenu sasa khaaa
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™Œ
 
Back
Top Bottom