Dormant Account
JF-Expert Member
- Apr 5, 2022
- 11,308
- 32,757
VerosaGari gani? Nahisi pump ina shida hapo. Ebu peleka kwa mafundi wanaojielewa.
Nina Gari nimetoka kuitengeneza ilikuwa inaonyesha check engine wakanambia mikolokolo kibao wakatengeneza Ile check engine ikatoka kwenye dashboard sasa nimeendesha kama siku 4 hivi ukiwa ndani ya Gari unasikia harufu ya mafuta kabisa.
Jana nawasha nikadhan mafuta nikasema ngoja niweke nikaweka ya 50000 nawasha yani mpka ukanyage mafuta kwa nguvu ndyo inawaka nikatembea ikafika sehem ikazima kuwasha mpka ukanyage mafuta kwa nguvu.
Tatizo itakua nini?
Mafuta kuungua ndyo inakuaje maana mm siyo mzoefu wa magariMafuta hayaungui hayo mkuu.
Check engine imepotea au wamenjunga?
Mafuta yanaungua ndani ya engine ndio maana unaona magari yanatembea barabarani.Mafuta kuungua ndyo inakuaje maana mm siyo mzoefu wa magari
Kesi yake inaishia hapa!Cheki ignition coils na spark plugs..!