Dormant Account
JF-Expert Member
- Apr 5, 2022
- 11,308
- 32,757
Nina Gari nimetoka kuitengeneza ilikuwa inaonyesha check engine wakanambia mikolokolo kibao wakatengeneza Ile check engine ikatoka kwenye dashboard sasa nimeendesha kama siku 4 hivi ukiwa ndani ya Gari unasikia harufu ya mafuta kabisa.
Jana nawasha nikadhan mafuta nikasema ngoja niweke nikaweka ya 50000 nawasha yani mpka ukanyage mafuta kwa nguvu ndyo inawaka nikatembea ikafika sehem ikazima kuwasha mpka ukanyage mafuta kwa nguvu.
Tatizo itakua nini?
Jana nawasha nikadhan mafuta nikasema ngoja niweke nikaweka ya 50000 nawasha yani mpka ukanyage mafuta kwa nguvu ndyo inawaka nikatembea ikafika sehem ikazima kuwasha mpka ukanyage mafuta kwa nguvu.
Tatizo itakua nini?