Msaada: Nimetumia dakika 5 kumtambua ndugu yangu wa karibu

Pole. Tumia pia Asali na mdalasini kabla hujapoteza kumbukumbu kabisa ukasahau hata jina lako.
 
Duu kumbe gfsonwin na wewe mara moja moja huwa una..., nani huyo alikutokea, hivyo kabla hujaamua kwenda kumvulia, ilikubidi kwanza kukumbuka umevaa ipi kati ya g, kk, or ordinary ili ujue kama atahamasika au laa?!.

Hiyo ya hubbiyo nayo kali!, yaani hakwenda hata ku pee siku nzima?!, ukivaa double wakati wa ku pee utajua!, ila pia than God sijui ni mko ulaya kwenye baridi au bongo kuanzi home, gari, ofisi full kipupwe hivyo hakugundua!, ingekuwa huku kwentu mashenzini, hilo joto tuu lingemjulisha!, unless hizo bulta ni boxer za kitambaa cha sari!.
Pasco.
 

hahahahahaahh............................... hivi unafkiri ni kwamba unataka kuikumbuka ili ukaivue lkn mie huwaga napenda tu nikumbuke nikoje, sijui kwann huwa nasahau na ni kweli huwa nasahau hasa pant na bra

juu ya ishu yake unajua nilichokonkludi ni kwamba men huwa hawana tabia ya kujiangalia kama sisi wadada manake nyie mkipee ukishafungua zipu unaivuta uliko ificha bila hata kuangalia na vidole can not tell hitilafu kama macho lol!
 

nice words dude..
 
hahahahahaahh............................... hivi unafkiri ni kwamba unataka kuikumbuka ili ukaivue lkn mie huwaga napenda tu nikumbuke nikoje, sijui kwann huwa nasahau na ni kweli huwa nasahau hasa pant na bra
Najua kuna p na b for you and for us!, yaani kuna baadhi zilivyo zimetengenezwa ili ukivaa ujione wewe tuu, lakini ziko zile za kumvalia yeye!, unaposahau, its as if umepata impromptu date and you are not sure uli vaa ipi for you or for him!. Na sio p & b pekeyake hata dressing, mnatufanyiaga makusudi sana huku mkijidai mmejivalia tuu!.

juu ya ishu yake unajua nilichokonkludi ni kwamba men huwa hawana tabia ya kujiangalia kama sisi wadada manake nyie mkipee ukishafungua zipu unaivuta uliko ificha bila hata kuangalia na vidole can not tell hitilafu kama macho lol!
Its true, sisi sio waangalifu sana na ndio maana maana ikitokea tukakutana na nyinyi ambao nanyi pia sio waangalifu, then popote, mezani, kwenye kiti, kwenye ngazi, jikoni, bafuni au popote penye privacy!, sasa wewe wa type ya kukumbuka na kama ndio umetuvalia, lazima utakataa popote ili ukafanye kiji mini striptease show ya single spectator!.
Pasco
 


Nice advice kaka ubarikiwe
 

hahhahahahaha!!!!!!!!!!!!!!!!!
hivi unajua siku hizi umekuwa spoiled sana weye mkaka............
no wonder mkeo ana expect lol...............sasa ile furaha ya kummimba ndo inakupeleka kote huku.
sasa umeona ata wewe huwa hukumbuki the same kama mimi, na uwiiii ikitokea impromptu unazuga hujiskii vzr kama najua sijiamin ............... khaaa!!
BTW nataka nikukaribishe mahali uje unipe akili njema manake mafanikio huja pia kwa kupata ushauri mzuri kwa rafiki wema.
 

Jibu zuri!!...ndio uzuri wa JF!
 
hahhahahahaha!!!!!!!!!!!!!!!!!
BTW nataka nikukaribishe mahali uje unipe akili njema manake mafanikio huja pia kwa kupata ushauri mzuri kwa rafiki wema.
Mkuu gfsonwin, nikaribishe tuu, kwangu jf ni zaidi ya keyboard, ili mradi tuu ujivalie, usinivalie!, sisi wengine ni Waafrika halisi tukiendeleza Uafrika wetu!.
Pasco.
 
Nakumbuka ndiyo maana sitaki matusi hata Pasco aniambiaje sifanyi matusi mama asijenichukia
Kumbe hukunielewa!, mimi ni Mlokole, sio mtu wa mambo hayo kabisa!, sana sana nitakuombea tuu na ikibidi mwili wako pia naweza kuubariki, mibaraka ya kimaombezi ya mwili, roho na nafsi!.
Pasco.
 
kichwa kina mambo mengi sana itabidi u_delete mafaili ya zamani, ila tu usiFORMAT.

#meditation
 
Ilishawahi kunitokea; siku hiyo nilikuwa na mambo mengi sana kichwani, nilifika sehemu lkn wakati wakutoka memory ilipotea kbs nikashindwa hata kutambua niko wapi, ilinibidi nikae kama dk 10 sehemu ile ndipo kumbukumbu ikaniijia nikaendelea na safari
 
Aseee hii kitu m nlidhan utan,kuna best angu aliniambia last wkend kuwa alisahau alikula nn uck wa siku hyo! Ilimchukua zaidi ya saa 5 kukumbuka,

Asee alipokumbuka alikuwa kama ametua mzigo, nlidhan jambo la kawaida kumbe ni tatzo!!! Mungu atusaidie Wajawake
 

Mkuu unaugonjwa wa kusahau.kwa ushaur kariri four figer yoote.utakuwa poa.kama uwezez chukuo biochemistry ukarir yote utanipa matokeo
 

Punguza stress.....jaribu kufanya stress management e.g. punguza concentration ya vitu vinavyokusumbua, pumzisha mwili na akili n.k. Hiyo sio ishara nzuri sana.......!
 
Hauwezi kuwa intelligence officer ha ha ha
 
Haat Mim ishawahi kunitokea:Tulikuwa watu zaidi ya watano,tuliambatana safari moja kwenda sehem flani,sehem hiyo mm naijuwa vyema tu.Baadae mii ufahamu ukakata.Nikawa sipatambui wapi tulipo,au wapi tunaelekea,na sikuwaambia wenzangu,Niliendelea kuburuzwa mpka tukafika,wakamaliza yaliyo tupeleka.Baada ya kuanza kurudi,Kama dk 10 ndipo faham zilinirudia.Aisee nilistaajabu,maana hali hiyo haikuwahi kunitokea kabla.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…