Conquer your fears, anza pole pole mpaka utazoea ila kikubwa tafuta hela....ukiwa na million kumi mfukoni isiyokuwa na matumizi rasmi unaweza goma kupisha msafara wa Raisi maana utajiona huna tofauti na leprezidaaWakuu, sorry if I will sound weird, ila hakuna jinsi bora kusema labda naweza pata tiba.
Nifanyeje ili niweze kuondoa aibu? Mwanzo jilijua ni utoto itapotea with ages ila mpaka umri huu hali iko vilevile na ndio kwanza inazidi kukua.
Huwa nawaza hivi siku nafunga ndoa mimi nitafanyaje? Naamini kabisa sitaweza kusimama mbele za watu.
Hivi kuna jambo lolote naweza fanya ili kuondoa hali hii kweli? As a man hadi najikuta nahisi kuna kitu nimekosa.
Msaada tafadhali wa kimawazo.
π kuna kaukweliACHA KUPIGA NYETO . Utakuja kunishukuru mbeleni .. nyeto inaondoa kujiamini .
kaza mwanangu alafu we ni chugaNo. Nikinywa hata bia moja kichwa kinauma sana miguu inaisha nguvu. Siku nzima naumwa
I'm comfortable sir. Ila yaani aibu zipo tu, duuh yaani sijui nitakua baba wa namna gani mbele ya wananguConquer your fears, anza pole pole mpaka utazoea ila kikubwa tafuta hela....ukiwa na million kumi mfukoni isiyokuwa na matumizi rasmi unaweza goma kupisha msafara wa Raisi maana utajiona huna tofauti na leprezidaa
Kama una hela alafu unaaibu hapohapo ulipo embu jipige kifuani sema mimi ni Falaa, usionee aibu hata hili πIn term of money I'm comfortable sir. Ila yaani aibu zipo tu, duuh yaani sijui nitakua baba wa namna gani mbele ya wanangu
Huku kwenye keyboard mbabe kweli unawakoromea hadi wenye mamlaka yao (mods) ila nyuma ya keyboard ni kasheshe πModerator aliyebadiri kichwa cha uzi hana akili
Na avute bange kidogokaza mwanangu alafu we ni chuga
Watu wasiri nyieπππNina tatizo kama lako
Nikaenda kwa psychologist nikajua nitapata labda dawa fulani, au kitu flani cha haraka
Nikashangaa anashauri the obvious; acha nyeto, tafuta outlets(sports, nenda church nk), jilazimishe kuwa karibu na watu, tengeneza ratiba ya siku na uifate, fanya mazoezi....
Najaribu nashindwa, psychologist nae nikaanza kumuonea aibu nishamtema.
Hapo kwenye 'jiamini tu' 'jilazimishe' pagumu hapo
Pole sana mdogo wangu,Mungu akusaidieNina tatizo kama lako
Nikaenda kwa psychologist nikajua nitapata labda dawa fulani, au kitu flani cha haraka
Nikashangaa anashauri the obvious; acha nyeto, tafuta outlets(sports, nenda church nk), jilazimishe kuwa karibu na watu, tengeneza ratiba ya siku na uifate, fanya mazoezi....
Najaribu nashindwa, psychologist nae nikaanza kumuonea aibu nishamtema.
Hapo kwenye 'jiamini tu' 'jilazimishe' pagumu hapo