Msaada: Nina aibu kupita kiasi, nifanyeje kuondokana na hali hii?

Msaada: Nina aibu kupita kiasi, nifanyeje kuondokana na hali hii?

Mimi kinachonisumbua kuanza kuongea mbele za watu hasa ikiwa kikao Rasmussen cha watu zaidi ya 20 hivi hasa kwa kusimama oyaaa nikiwa nimekaa chini naongea hata mbele ya watu 1000 confidence...
Wewe kama mimi tu[emoji23][emoji23]
 
Mkiambiwa mfanye yoga mnabisha,,yoga inasaidia ku expose emotions zote zilizo jificha ambazo you were not aware of them before.

Means they were not in your concious mind level,,but in your unconscious mind,,
Mkuu please naomba nielekeze hii kitu ,pia nimekucheki DM naona umeifunga[emoji1787]
 
Short story huenda ikawa na msaada:
Mimi pia nilikuwa muhanga wa hicho kitu........ Malezi nilopewa nyumbani yalichangia pakubwa kuwa hvyo, maisha yangu yote ya ukuaji nilikuwa mtu wa kukaa sana ndani Sina marafiki, mkimya kupitiliza, aibu nyingi Sana N.k

Baada ya kufaulu vzr O-level, nikapangiwa shule ya advance amby n day na ilikuwa changanyikeni.... Hapo ndipo character ilibadirika moja kwa moja!!!

Kwanza nilichojifunza,,, marafiki utakaochagua kuwa nao kweny maisha baada ya muda lazima utaendana nao zaidi ya 40%
Hii ilinitokea baada ya kufika shuleni nikapata rafiki mmoja aliyekuwa na masihara mengi sana, muongeaji kupitiliza..... (Yule jamaa alinibadirisha tabia mpk leo)

Kuna huu usemi wa dawa ya moto ni moto ( n formula nzuri sana ya kukabiliana na tatzo lako), nikimaanisha dawa ya aibu ni aibu kubwa.
Twende pamoja🤝
Shule nilosoma ndani ya week moja darasa zima walifaham kuwa mm ninaaibu kupitiliza.... Basi walianza kunitania sana na hyo ndo ikawa tiba kwangu!!!
Walinigeuza mdoli wao hasa watoto wa kike (bro mwezi na nusu ulikuwa mwng Sana nishakuwa jangili utadhan nimezaliwa Tandale kwa tumbo)

KUONGEZEA: Kuna muda nilianza kuuza nguo mnadani tena sehemu ambayo nnafahamika ....... Hii pia ilimaliza aibu yote ilokuw imesalia maana ilikuwa ikifika jioni tunaanza kupiga debe la ... Oya oyah oyaaaah tajiri kalewa bei buku buku, mjamzito anapata bure😂😂😂😂🤣🤣

Kama unaweza jaribu hii mbinu..... Fanya shughul ambayo jamii inaidharau, mfano kuchoma mahindi, kuokota makopo😂😂 (ila hapa skushaur Sana japo hii ndo baba lao), kutembeza nguo, au kuwa hata machinga sehemu yenye watoto wazuri halafu uwe unavaa kama umetoka migodi ya geita.... halafu ukitaka matokeo ya haraka fanya sehemu ambayo watu wanakuheshimu!!!!
Ukiweza kuvumilia fedheha mwezi mmoja, aibu lazima iondoke.🚶🚶

Dawa ya aibu n aibu bwana!!!!
Aloo, jichanganye na watu wa makundi mbalimbali katika jamii, walao itasaidia kuwazoea watu taratibu, jiunge na kwaya, vikundi vya mazoezi. Jichanganye kwenye shughuli za kijamii kama sherehe mbalimbali na misiba, acha kujifungia ndani.
 
Kutokujiamini.

Kukosa ile kitu inaitwa human BEing , Self I , Creator kujitambua kuwa wewe Ndio center of universe.

Yoga inaweza kusaidia .

You must control your emontions (hunger, happy, love, sorrow, etc), To be Master of your Own, to shape the corner stone in order to BEing human BEing.

If you can control your emotions , you will SEEing the flow of nature (space and Time to Be the same). And hence BEcome human BEing

The choice is yours

The world is as it is for a reason. When we have learned our lessons and have

aligned ourselves with one or another of the two fundamental universal principles,

Creation or Entropy, we are permitted to leave by one of two doors, either up or

down, the ascending or descending path. The choice is ours. That is the great

cosmic economy and the great secret of the world.

Truth comes from Knowledge. Knowledge leads to Love. To achieve Love in

the Higher Realms, one must hold that Love here in the Lower Realm, but not the

love that seeks to overcome or ignore or shut out the truth of the nature or the

world within which we live, the objectivity of Nature as it is viewed, with love, by

the Logos - unconditionally.

Today, as in the time of the emergence of the Grail Stories, Courtly Love

remains, by definition, the indispensable condition for the success of the vivifying

objective Love of the Higher Realms, the transducing of the energies of Creation,

the objective of the Quest for the Holy Grail. It is only by achieving this state of

objectivity, true unconditional love that SEES and KNOWS and yet LOVES, can

the Seeker gain access to the Ancient Secret Technology which includes mastery

of Space and Time and Matter
 
Upo kama mm kabisa mkuu, cjui tutaondokaje kwenye hii hali
 
Acha nyeto pia anza kufanya skin care routine....kwaajili ya kuweka muonekano wako wa sura huwe clean and smooth huwa inaboost confidence
 
Jamaa anajionea aibu hata yeye mwenyewe ajitazamapo kwenye kioo
 
Wakuu, sorry if I will sound weird, ila hakuna jinsi bora kusema labda naweza pata tiba.

Nifanyeje ili niweze kuondoa aibu? Mwanzo jilijua ni utoto itapotea with ages ila mpaka umri huu hali iko vilevile na ndio kwanza inazidi kukua.

Huwa nawaza hivi siku nafunga ndoa mimi nitafanyaje? Naamini kabisa sitaweza kusimama mbele za watu.

Hivi kuna jambo lolote naweza fanya ili kuondoa hali hii kweli? As a man hadi najikuta nahisi kuna kitu nimekosa.

Msaada tafadhali wa kimawazo.
Aisee
 
Tatizo ni hili hapa. Abusive childhood na kukosa malezi mbadala ya wazazi. Lakini hasa malezi ya baba. Wanaita lack of father figure, masculine role models, au daddy issues. Alafu mwanaume hana aibu, hiyo inaitwa kukosa kujiamini au confidence. Mwanaume kujiona una aibu ni mwanzo wa tatizo vilevile.

Solution ni "be it." Au mcheck Jordan Peterson.
 
Back
Top Bottom