Msaada: Nina aibu kupita kiasi, nifanyeje kuondokana na hali hii?

Msaada: Nina aibu kupita kiasi, nifanyeje kuondokana na hali hii?

Kuna jambo hamjafunguka vizuri..
Mnaona aibu juu ya nini hasa? Aibu kwa mademu au kwa kila mtu? Au aibu ya kutongoza?

Au mnachanganya ukimya na aibu?
Maana kuna watu kwa asili ni wakimya tu, hawawezi kuongea ongea
Watu wote.

Ingekua ni asili tungependa
 
Mkiambiwa mfanye yoga mnabisha,,yoga inasaidia ku expose emotions zote zilizo jificha ambazo you were not aware of them before.

Means they were not in your concious mind level,,but in your unconscious mind,,
I’m following you from now!
 
Nina tatizo kama lako

Nikaenda kwa psychologist nikajua nitapata labda dawa fulani, au kitu flani cha haraka

Nikashangaa anashauri the obvious; acha nyeto, tafuta outlets(sports, nenda church nk), jilazimishe kuwa karibu na watu, tengeneza ratiba ya siku na uifate, fanya mazoezi....

Najaribu nashindwa, psychologist nae nikaanza kumuonea aibu nishamtema.

Hapo kwenye 'jiamini tu' 'jilazimishe' pagumu hapo
Mnajionea aibu mpaka nyie wenyewe?....
 
Wakuu, sorry if I will sound weird, ila hakuna jinsi bora kusema labda naweza pata tiba.

Nifanyeje ili niweze kuondoa aibu? Mwanzo jilijua ni utoto itapotea with ages ila mpaka umri huu hali iko vilevile na ndio kwanza inazidi kukua.

Huwa nawaza hivi siku nafunga ndoa mimi nitafanyaje? Naamini kabisa sitaweza kusimama mbele za watu.

Hivi kuna jambo lolote naweza fanya ili kuondoa hali hii kweli? As a man hadi najikuta nahisi kuna kitu nimekosa.

Msaada tafadhali wa kimawazo.
Mdogo angu,

Tafuta hela..tafuta hela...usije sema sijakwambia ohooo....

Fedha huleta kujiamini

Ukiwa na pesa unatembea na mamlaka..

Money, Power , respect

Ukiwa hauna pesa utakua mnyonge mnyonge with no confidence..

Ukiwa na pesa akili lazima itakate akili ikitakata mwili lazima unawiri..

Money talk wazungu wanasema mdogo angu mengineo Ni product ya money💰
 
Pole sana.
Wakati nasoma soma nilikua Representative na mwenzangu wa kike. Kwenye vikao tulikua tunalipwa 5K lakini hadi natoka kwenye uongozi sikuwahi kuhudhuria hata kikao kimoja huyu dada ndo ilibidi awe ananiwakilisha.

But the worst ni kwamba nashindwa kudai watu madeni. Kuna watu kibao nawadai hela ila sijui nawaanzaje kuwadai daaaah. Yaani nabaki nasononeka rohoni. Naokopa ninao wadai badala wao ndo waniogope
Embuvanza kumtusi kila mtu humu tukuporomoshee matusi tuone utahimiki
Mwenzako pia hapa ika mimi najichanganyaga kidogo mtu akinfanya mambo ya hovyo ndo najikata kabisa
Ila kwenye kudai haki yangu ndo changamoto kwa sababu sipendu kulumbana na watu
 
Embuvanza kumtusi kila mtu humu tukuporomoshee matusi tuone utahimiki
Mwenzako pia hapa ika mimi najichanganyaga kidogo mtu akinfanya mambo ya hovyo ndo najikata kabisa
Ila kwenye kudai haki yangu ndo changamoto kwa sababu sipendu kulumbana na watu
Brother angu katoka kunisema kua eti Mimi Ni mpole Kama YESU

Mm Ni mpole Sanaa hata kwa kuniangalia in your first sight pia Ni mstaarabu Sanaa..

Huwa sipend kujiweka kimbelembele Wala kua mwongeaji kwenye watu wengi.. hata shuleni na vyuoni nikiwa nasoma Kuna mitiani migumu Mara kadhaa niliwai kuongoza ndio watu wakaanza kuulizana na ku pay attention...

Aibu,upole, uoga, unyenyekevu, ukimya wangu upogo tu Ila huwa Nina confidence balaa

Ntaendelea kuweka madini kwa kadri inavyo faa 😊😊
 
Back
Top Bottom