Msaada: Nina aibu kupita kiasi, nifanyeje kuondokana na hali hii?

Msaada: Nina aibu kupita kiasi, nifanyeje kuondokana na hali hii?

Mara ya mwisho nilitongoza live 2015. Nikaapa sitarudia tena niliaibika sana
Basi waliokushauri uache punyeto wanascore 85% ya psychological advice juu yako. Angalia usije ukaishia kusikia ukiitwa uncle tu na si daddy 😆😆
 
Kwa kijana Kama hajawai kutumia kilevi chochote huyo hajawai kuishi...

Vilevi vinasaidia Sana ku shape mtu kua real

Even once in ln the Life time..
Hapa nakubaliana nawe, lakini sehemu nyingine sijaona madini mkuu. Alafu just to remind you a person can't be shaped by drinking once in a life time. Kila kitu kinatakiwa kifanyike regularly ili ujitambue na kujishape upo hapo?
 
Acha kujichua anza nofap challenge ukiweza kufikisha siku 66 bila kujichua utaona mabadiliko ya awali hali ya kujiamini inaongezeka kama ulikua unaonea aibu mademu utashangaa unaongea nao huku una maintain eye contact wao ndo wataanza kuangalia pembeni kwa aibu.

Semen retention ina faida kubwa sana hata sauti itabadilika inakua ya kiume zaidi, hiyo asili pia ninayo ila sahivi nimeweza kuishinda japo haiwezi kuondoka yote kama ni asili yako.

Ukikosa sana aibu unakua mtu mpumbavu na aibu ikizidi sana pia inakua siyo fresh hasa kwa mwanaume
 
Hapa nakubaliana nawe, lakini sehemu nyingine sijaona madini mkuu. Alafu just to remind you a person can't be shaped by drinking once in a life time. Kila kitu kinatakiwa kifanyike regularly ili ujitambue na kujishape upo hapo?
Sawa mkuu
 
Pole mkuu, tupo wengi. Nadhani biological make up. Mimi nilipokua mdogo niko shuule ya msingji na sekondari nilikua nikisimamishwa kujibu swali nitajibu iwe kwa usahihi au la ila lazima machizi yatoke na kurttoa sauti ya kutetemeka. Nilijua kwa kua ni mdogo.

Sasa nimekua ila bado nina aibu japo huwa naificja sana watu wasijue. Mm ni yule mtu nikuta kikundi chha watu kama nawajua ni salamu ya pamoja kissha nnaishia. Japo sio rahisi sana kunijua kua nina aibu ila mm mwenyewe najijua.

Naona unapewa ushauri nwingi, sasa mimi sipugi nyeto tangu 2020 nina zaidi ya miaka mitatu sasa. Nina videmu viwili ambavyo nikiiniua simu kesho mmoja wapo nakula, na kuna mwinginne naongeza lwa list soon. Nikosaga mbususu huwa nanunua malaya.

Sina njaa ndogo ndogo ila aibu bado ninayo. Hui hali ni mm tu ndio huwa naijua na mtu hadi anichinguze sanaaa ila juu juu utaniona mwamba sana.
 
Acha kujichua anza nofap challenge ukiweza kufikisha siku 66 bila kujichua utaona mabadiliko ya awali hali ya kujiamini inaongezeka kama ulikua unaonea aibu mademu utashangaa unaongea nao huku una maintain eye contact wao ndo wataanza kuangalia pembeni kwa aibu.

Semen retention ina faida kubwa sana hata sauti itabadilika inakua ya kiume zaidi, hiyo asili pia ninayo ila sahivi nimeweza kuishinda japo haiwezi kuondoka yote kama ni asili yako.

Ukikosa sana aibu unakua mtu mpumbavu na aibu ikizidi sana pia inakua siyo fresh hasa kwa mwanaume
Kwa kijana Kama hajawai kutumia kilevi chochote huyo hajawai kuishi...

Vilevi vinasaidia Sana ku shape mtu kua real

Even once in ln the Life time..

Basi waliokushauri uache punyeto wanascore 85% ya psychological advice juu yako. Angalia usije ukaishia kusikia ukiitwa uncle tu na si daddy 😆😆
Comments zenu zimenisikitish sana..
FB_IMG_17104396659486058.jpg
 
Umevutiwa na kipi binti kiziwi
Kwasababu umeongelea visivyoongelewa hasa katika mazingira yetu haya, kwenye ya malezi na makuzi.

Kwahiyo naamini unafahamu zaidi, which niko hapa kujifunza.
 
Anza kununua mayala wakufunze mapenzi na maneno machafu wakati unapyesa, aibu itakuisha. Practices makes perfect
Sio tu kununua awe anaenda hata massage kule anaeza hata piga nao story akawq mzoefu zaidi
 
Mimi ni mvivu wa kuandika,lakini naomba niandike japo kwa ufupi.



irrational fears, Resentments ni matokeo ya hisia zilizo zuiwa kuelezewa (unprocessed emotions ama suppressed Emotions).

Hisia hizi mara nyingi huifadhiwa kwenye sehemu tofaut mwilini ikiwemo kwenye misuli mbalimbali.

Hisia hizi ni kumbukumbu hazitoweki kabisa,zinabaki huko mpaka pale utakapo fanya jambo.


Nitaanzisha mada maalumu wakuu,nitatoa elimu namna ya kuwa huru na hizi hisia...
 
haya, nitaangalia yoga ipoje
Mkuu,yoga is nothing special..isikutishe..is just a tool ya kukusidia wewe kuufungua mwili wako ili uweze ku experience consciously zile unconscious emotions ambazo zimejificha..

Yaani zile emotions zilizo jificha ambazo zinakuumiza,zinaletwa live and you have to face them.simple like that
 
Pole sana.
Wakati nasoma soma nilikua Representative na mwenzangu wa kike. Kwenye vikao tulikua tunalipwa 5K lakini hadi natoka kwenye uongozi sikuwahi kuhudhuria hata kikao kimoja huyu dada ndo ilibidi awe ananiwakilisha.

But the worst ni kwamba nashindwa kudai watu madeni. Kuna watu kibao nawadai hela ila sijui nawaanzaje kuwadai daaaah. Yaani nabaki nasononeka rohoni. Naokopa ninao wadai badala wao ndo waniogope
Mkuu wewe ni me au ke?.samahani lakini
 
Back
Top Bottom