Msaada: Nina aibu kupita kiasi, nifanyeje kuondokana na hali hii?

Msaada: Nina aibu kupita kiasi, nifanyeje kuondokana na hali hii?

Wakuu, sorry if I will sound weird, ila hakuna jinsi bora kusema labda naweza pata tiba.

Nifanyeje ili niweze kuondoa aibu? Mwanzo jilijua ni utoto itapotea with ages ila mpaka umri huu hali iko vilevile na ndio kwanza inazidi kukua.

Huwa nawaza hivi siku nafunga ndoa mimi nitafanyaje? Naamini kabisa sitaweza kusimama mbele za watu.

Hivi kuna jambo lolote naweza fanya ili kuondoa hali hii kweli? As a man hadi najikuta nahisi kuna kitu nimekosa.

Msaada tafadhali wa kimawazo.
umri wako tafadhali? ni muhimu kutoa ushauri kulingana na umri au rika
 
Wakuu, sorry if I will sound weird, ila hakuna jinsi bora kusema labda naweza pata tiba.

Nifanyeje ili niweze kuondoa aibu? Mwanzo jilijua ni utoto itapotea with ages ila mpaka umri huu hali iko vilevile na ndio kwanza inazidi kukua.

Huwa nawaza hivi siku nafunga ndoa mimi nitafanyaje? Naamini kabisa sitaweza kusimama mbele za watu.

Hivi kuna jambo lolote naweza fanya ili kuondoa hali hii kweli? As a man hadi najikuta nahisi kuna kitu nimekosa.

Msaada tafadhali wa kimawazo.
Acha nyeto kwa siku 21 alafu uje hapa usome bandiko lako upya.
 
Pole sana.
Wakati nasoma soma nilikua Representative na mwenzangu wa kike. Kwenye vikao tulikua tunalipwa 5K lakini hadi natoka kwenye uongozi sikuwahi kuhudhuria hata kikao kimoja huyu dada ndo ilibidi awe ananiwakilisha.

But the worst ni kwamba nashindwa kudai watu madeni. Kuna watu kibao nawadai hela ila sijui nawaanzaje kuwadai daaaah. Yaani nabaki nasononeka rohoni. Naokopa ninao wadai badala wao ndo waniogope
Kama mimi yaani watu washaniona shamba la bibi
 
Mwisho wa siku uje uvunje vipi tu🤣🤓, Isa una taka kupigana na mkweo😃
Pitia hii
Cc Da'Vinci
chrome_screenshot_15 Mar 2024 17_44_27 GMT+03_00.png
 
In term of money I'm comfortable sir. Ila yaani aibu zipo tu, duuh yaani sijui nitakua baba wa namna gani mbele ya wanangu
Kwa jinsi unavyoelezea hizo aibu ulizonazo utafika kweli level ya kuitwa baba? Kama Una mpango wa kuwa na familia baadae anza kuchukua hatua ya kuukabili uoga wako na jifunze njia za kuearn confidence before people. Isijefikia kipindi hata unayedhania ndio ubavu wa future yako ukashindwa kumface achilia mbali utakapokuwa nae faragha nae😃😃
 
Pole sana.
Wakati nasoma soma nilikua Representative na mwenzangu wa kike. Kwenye vikao tulikua tunalipwa 5K lakini hadi natoka kwenye uongozi sikuwahi kuhudhuria hata kikao kimoja huyu dada ndo ilibidi awe ananiwakilisha.

But the worst ni kwamba nashindwa kudai watu madeni. Kuna watu kibao nawadai hela ila sijui nawaanzaje kuwadai daaaah. Yaani nabaki nasononeka rohoni. Naokopa ninao wadai badala wao ndo waniogope
Lete hiyo deal ya kuwadai wadeni wako, Lazima tuwa shughulikie🤓🤒
 
Hii kitu sometimes Ina niandama pia, una kuta kitu naki jua ila I can't say it mbele yao.

Moja kati ya marafiki zangu ndo ali nambia mbona ume kaa kiwaki.

Ila ni half half sometimes nakuwa normal, baadae ndo shida Ina rudi
 
Back
Top Bottom