Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Sana sijisifii ila hata kwenye familia nakubalika sana huwa sina mambo mengi.Sema jamii inawapend sana watu quite
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sana sijisifii ila hata kwenye familia nakubalika sana huwa sina mambo mengi.Sema jamii inawapend sana watu quite
Nimeshagundua mpira unanifanya niongee ila nikitoka hapo narudi hali yangu ya zamani.😂 pole mkuu
Mimi ukiniona kama ni mpole na mwenye aibu ila chokoza nyuki ule asali.
Ukinichangamkia nakuchangamkia haswa and vice versa is true. Jichanganye na wadau kwenye banda umiza, vijiweni n.k itakusaidia sana vinginevyo kila litakaloongelewa utashindwa kuchangia na utaishia kujichekesha tu uongo na ukweli na kuitikia.
Sana sijisifii ila hata kwenye familia nakubalika sana huwa sina mambo mengi.
😂😂😂Huku kwenye keyboard mbabe kweli unawakoromea hadi wenye mamlaka yao (mods) ila nyuma ya keyboard ni kasheshe 😂
Hakika upo sahihi na ndivyo nifanyavyoTrue , njia ya kukubalika ni kuwasikiliza Sana watu na kuongea pale unapohisi neno lako litazingatiwa.
🥱Mimi ukiniona kama ni mpole na mwenye aibu ila chokoza nyuki ule asali.
Kaka amewafokea wenye jf yao hadi wamekosa raha ila huko mtaani ni muoga balaa😂
Nini 😅
Sema jamii inawapend sana watu quite
Kwa wanawake hua ni kamsererekoSana sijisifii ila hata kwenye familia nakubalika sana huwa sina mambo mengi.
Huko staki kusema kabisaKwa wanawake hua ni kamserereko
Observe...
Naombeni ushauri wenu juu ya huyu mtu🤔
Kwanza naomba radhi kwa hili nitaloeleza hapa maana naenda kinyume na codes za kiume "What happens in Vegas stay in Vegas" Sio vizuri sana kuzungumza mambo yako yahusishayo wanawake mitandaoni. But I have to do this coz sitaki kutumia akili yangu mwenyewe nisije haribikiwa mbeleni huko. ====...www.jamiiforums.com
Nakufundisha kitu kimoja simple sana.Wakuu, sorry if I will sound weird, ila hakuna jinsi bora kusema labda naweza pata tiba.
Nifanyeje ili niweze kuondoa aibu? Mwanzo jilijua ni utoto itapotea with ages ila mpaka umri huu hali iko vilevile na ndio kwanza inazidi kukua.
Huwa nawaza hivi siku nafunga ndoa mimi nitafanyaje? Naamini kabisa sitaweza kusimama mbele za watu.
Hivi kuna jambo lolote naweza fanya ili kuondoa hali hii kweli? As a man hadi najikuta nahisi kuna kitu nimekosa.
Msaada tafadhali wa kimawazo.
Naunga mkono ulichoandika 😂😂Nini 😅
WarriorHuku kwenye keyboard mbabe kweli unawakoromea hadi wenye mamlaka yao (mods) ila nyuma ya keyboard ni kasheshe 😂
Kwenye ubora wakeWarrior
Sijaandika nimetype 😂Naunga mkono ulichoandika 😂😂