Kelsea
JF-Expert Member
- Dec 21, 2020
- 14,564
- 34,341
Hicho hicho ulichotype 😂Sijaandika nimetype 😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hicho hicho ulichotype 😂Sijaandika nimetype 😂
It hurts me a lot when I see cannabis being slandered like this.....😪watakushauri uvute bange , nakushauri usiwasikilize haiondoi aibu inaondoa common sense
Jichanganye zaidi mimi kama sio mishemishe za mtaa ningeshakuwa bubu kitambo.Nimeshagundua mpira unanifanya niongee ila nikitoka hapo narudi hali yangu ya zamani.
Wakuu, sorry if I will sound weird, ila hakuna jinsi bora kusema labda naweza pata tiba.
Nifanyeje ili niweze kuondoa aibu? Mwanzo jilijua ni utoto itapotea with ages ila mpaka umri huu hali iko vilevile na ndio kwanza inazidi kukua.
Huwa nawaza hivi siku nafunga ndoa mimi nitafanyaje? Naamini kabisa sitaweza kusimama mbele za watu.
Hivi kuna jambo lolote naweza fanya ili kuondoa hali hii kweli? As a man hadi najikuta nahisi kuna kitu nimekosa.
Msaada tafadhali wa kimawazo.
Dar hamna izo daladala siku hizi 😁😁jiamini jichanganye na waongeaji na wewe uwe mchangiaji.
kama ni mpandaji wa daladala ukipanda kaa siti ya kwenye injini kwa dereva ile inayotizama nyuma kaa watizame abiria ukiwaangalia na kutafakari usimwogope mtu akikuangalia kwa kustuka tabasamu ndio silaha.
Mpira bwana, mtu akiisema team yako ata kama una njaa hauwezi kuvumilia. Mimi kuna jamaa United ya Ferguson haipendi Arsenal sijui walimkosea nini,Nimeshagundua mpira unanifanya niongee ila nikitoka hapo narudi hali yangu ya zamani.
ACHA KUPIGA NYETO . Utakuja kunishukuru mbeleni .. nyeto inaondoa kujiamini .
Kama nyeto ndo inasababaisha basi dronedrake ndio atakua mfalme wa aibu jfAcha nyeto
Natania tu sio kweli 😎Hicho hicho ulichotype 😂
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] watu mna ujinga mwingiNmeacha nmeyafunga mashuka hivi hotel pale nasikia wameogopa kuingia wameita polisi hapa n simu zinapigwa tu nami sipokei mpaka kesho asubuhi akili iwachemke kwanza ….
Mnanichaji 70k na manzi yenyewe haijaja[emoji3][emoji3]
View attachment 2935419
Siunaona eti na aibu mmh!Shuda yako ww dish lako halina kile kitofu cha kushikia mawimbi. Upo upo tu
Una dem kweli MkuuWakuu, sorry if I will sound weird, ila hakuna jinsi bora kusema labda naweza pata tiba.
Nifanyeje ili niweze kuondoa aibu? Mwanzo jilijua ni utoto itapotea with ages ila mpaka umri huu hali iko vilevile na ndio kwanza inazidi kukua.
Huwa nawaza hivi siku nafunga ndoa mimi nitafanyaje? Naamini kabisa sitaweza kusimama mbele za watu.
Hivi kuna jambo lolote naweza fanya ili kuondoa hali hii kweli? As a man hadi najikuta nahisi kuna kitu nimekosa.
Msaada tafadhali wa kimawazo.
Full kubanwa na vijambo plus tumbo la muharoooooo.......😂😂😂Huku kwenye keyboard mbabe kweli unawakoromea hadi wenye mamlaka yao (mods) ila nyuma ya keyboard ni kasheshe 😂
Dah ndio maana ukiona mtu anatamba humu mitandaoni muache tu wengi huwa ni waoga sana.Full kubanwa na vijambo plus tumbo la muharoooooo.......😂😂😂
Ha ha ha Noma sana mzee BabaDah ndio maana ukiona mtu anatamba humu mitandaoni muache tu wengi huwa ni waoga sana.