Msaada: Nina Funza Mguuni

Msaada: Nina Funza Mguuni

Watu wengine mnajua 'kufake' kwa kweli. Na ndio uanaume wa Dar huo.

Yani upo na mtu ambae ameweza kujua tatizo ni funza alafu huyo mtu asikupe suluhu ya tatizo hilo mpaka ulete uzi JF?

Nadhani umetumia akili za huyo funza aliyeko mwilini mwako.
Kila kitu wanaume wa Dar,
Kwanza Tz hii sidhan kama kuna mens wanapambana kama wa Dar,
Naomba kujulishwa mkoa mwingine tofauti na hapa ambao wanaume wanapambana day/night tuanzie ktk daladala!!! Mwanza ikifika saa 6 jiji lote kimyaa, sikuambii mikoa iliyobaki
 
Kila kitu wanaume wa Dar,
Kwanza Tz hii sidhan kama kuna mens wanapambana kama wa Dar,
Naomba kujulishwa mkoa mwingine tofauti na hapa ambao wanaume wanapambana day/night tuanzie ktk daladala!!! Mwanza ikifika saa 6 jiji lote kimyaa, sikuambii mikoa iliyobaki
Mimi mwenyewe huwa hata sijui wanaume wa Dar mkoje huwa nasikia tu.
 
Hayo makitu sio mazuri sana kwanza tabia ya hao funza unaweza washwa kidole kile kidogo kumbe mzigo upo kile cha kati yaani isiombee kabisa na muwasho wake ni mtam pale anapotema vile vi maji maji yaani unajisikia kusugua hata na msumari au kitu chenye ncha kali
Kwanza Niungane na Muhenga Aliyetunga Methali isemayo " Mficha Maradhi Kifo humuumbua"
Na kwa sababu sitaki kifo, nimekuja kwenu kuomba msaada.

Wakuu naandika Thread hii ikiwa ni Saa 9 usiku baada ya kukosa usingizi kabisa licha ya kuwa na uchovu wa wiki nzima inayoishia.
Nimeshituka saa 8 za usiku na kukuta mguu unawasha Sana ila ni maumivu ambayo sometime yanaambatana na Utamu fulani hiviiii
Nikaanza kujikuna, lakini maumivu ndo yanaongezeka kiasi kwamba inabidi nijikune Throughout.

Ki ukweli mimi Naishi Karatu Arusha. Nipo kwa Muda sasa maeneo haya na eneo hili lina vumbi sanaa. Imebidi nimuulize jamaa yangu usiku huuu kuwa hili ni tatizo gani??

Amenijibu kuwa ni Funza. Sasa mimi sijui hata hawa funza wapoje. Si unajua tena sisi Watoto wa Das'lam hivi ni vitu vigeni kwetu.

Hivyo wakuuu naomba ABC za kufanya utatuzi wa hili suala maana shidaaaaaaa.
Yani nimekosa amani kabisa.
Pia naomba na njia za kujikinga na janga hilii
 
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
Hayo makitu sio mazuri sana kwanza tabia ya hao funza unaweza washwa kidole kile kidogo kumbe mzigo upo kile cha kati yaani isiombee kabisa na muwasho wake ni mtam pale anapotema vile vi maji maji yaani unajisikia kusugua hata na msumari au kitu chenye ncha kali
 
Back
Top Bottom