Mkwawa mnyalukoro
JF-Expert Member
- Oct 11, 2017
- 237
- 165
Mim kwa muda mrefu nmekuwa nikiigua homa Kali sana bila kupata nafuu
Cha kwanza nikapima ukimwi majibu yakatoka npo negative
Then nikapima UTI,TYPHOD,Amiba,maralia nikaambiwa Nina maradh hayo
Wakanipa dawa yaan wakati natumia hzo dawa kidogo nikawa najisikia ahuen kidogo baada ya kumaliza doz nikakaa siku 3 homa ikajirudia Kali sana nikapewa dawa tena lkn hali yangu haijatengamaa Homa Kali sana inanisumbua
Msaada jaman nmechoka yaan nmekata tamaa kwasasa
Cha kwanza nikapima ukimwi majibu yakatoka npo negative
Then nikapima UTI,TYPHOD,Amiba,maralia nikaambiwa Nina maradh hayo
Wakanipa dawa yaan wakati natumia hzo dawa kidogo nikawa najisikia ahuen kidogo baada ya kumaliza doz nikakaa siku 3 homa ikajirudia Kali sana nikapewa dawa tena lkn hali yangu haijatengamaa Homa Kali sana inanisumbua
Msaada jaman nmechoka yaan nmekata tamaa kwasasa