Msaada:Nina mwanangu ana tatizo la kujisaidia haja kubwa kila baada ya muda mfupi

isupilo

JF-Expert Member
Joined
Jan 25, 2015
Posts
303
Reaction score
1,255
Wakuu mnisaidie,

nimejaribu sana hospital na dawa za hapa na pale. Mwanangu ana miaka miwili. Anajisaidia bila kusema kila baada ya nusu saa, tena kinyesi kidogo sana!

Mwanzoni alikuwa akitaka kujisaidia anasema, ila sasa hivi anajisaidia "unconditionally" kila baada ya dakika chache, tena kinyesi kidogo.

Mwanzoni Dr alisema amoeba na askaris, kapata dawa lakini tatizo bado.

Je, tatizo itakuwa nini na nifanye nini ili kunsaidia?
 
Mmh!
Nina wasiwasi mkubwa sana huenda aliwahi kunajisiwa. Fanya utafiti wa kina, lakini pia mpeleke hospitali kubwa zaidi ya umma.
 
Mpe Mikate ya Boflo nenda pale Zanzibar darajani bila ya kusahau kunde za kuchemsha ale hilo tatizo la litaondoka kwa uwezo wa mungu
 
Hawa walezi wanaweza kuwa walimharibu mtoto. Wakati wote hata baba siyo wote ni wazazi wengine ni wahuni. Mwombe mama yako amchunguze mtoto.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…