WAKUONDOKA
Member
- Oct 8, 2014
- 46
- 24
Jiunge forever living
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaa.. Akiweka 150k yake timu 5 tu milion 20 na upuuzi..Subiri had mwezi wa nane tar 13 uanze kubet
ushauri mzuliFungua genge LA nyanya vitunguu na matunda utapiga Pesa coz hizo ni mahitaji ya kila cku lazima tupike
Ulipata biashara gani mkuu....Nina shilingi laki moja na nusu nataka kuifanyia biashara, ushauri nifanye biashara ipi?
Kama ww ni ke ni pm nikuongezee mtajiNina shilingi laki moja na nusu nataka kuifanyia biashara, ushauri nifanye biashara ipi?